Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,735
- 5,974
Upuuzi kvp bro... Watu tuna huzunika, lakini kwanini mipango ya kuijaza dunia isiendelee... Huyu anataka kuosha rungu.. Hajakosea Mkuu au kakuwahi kwa shunieWatu tuna msiba.mnaleta upuuzi humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi kvp bro... Watu tuna huzunika, lakini kwanini mipango ya kuijaza dunia isiendelee... Huyu anataka kuosha rungu.. Hajakosea Mkuu au kakuwahi kwa shunieWatu tuna msiba.mnaleta upuuzi humu
TrueIn JF ukiamua kufanya yako au kufanye yenyu nyie fanyaneni tu...
mahondaw wangu... Humu watu wanajiona wao ndiyo perfect na kukosoa wenzao kwa kila jambo..
That's my me, when it come about you mahondaw wangu.. No matter whatever anyone will say i never care...
No one has the right to judge anyone with his/her actions...
Usijali mahondaw wangu... As long as am breathing i will make you the luckiest lady in the world... I will always make you happy... Because you deserve the best mahondaw wangu....
Mimi mwanamke umbea Hadi yangu,tofauti na wewe mwanaume ukiwa mbea watu watakushangaa.Shida ipi acha umbea
Natafuta mwanamke wa kufanya nae mapenzi leo.Mimi mwanamke umbea Hadi yangu,tofauti na wewe mwanaume ukiwa mbea watu watakushangaa.
Fair point...
Unataka kuniambia Shunie original sura mbaya tena mweusii kama buti la mgambo au afande naniliu? Mtake radhi mkuu.Nani aliyekwambia huyo mrembo kwenye avatar ndo shunie?
Hana shida na wewe, Ila anataka Japo kaumaarufuhivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
Hahah mi mwenyewe sijui, anaweza akawa mbaya kama usemavyo au ndo huyo huyo kwenye avatar.. Who knows??Unataka kuniambia Shunie original sura mbaya tena mweusii kama buti la mgambo au afande naniliu? Mtake radhi mkuu.
Natumaini mwenyewe mrembo haswa zaidi ya hiyo avatar. Mwandiko wake tu unadhihirisha hivyo.Hahah mi mwenyewe sijui, anaweza akawa mbaya kama usemavyo au ndo huyo huyo kwenye avatar.. Who knows??
Duh yan mkuu unathaminisha urembo kwa mwandiko? Mi nadhani mwandiko wake unaweza kukusaidia kujua mambo yake mengine kama haiba na kadhalikaNatumaini mwenyewe mrembo haswa zaidi ya hiyo avatar. Mwandiko wake tu unadhihirisha hivyo.
Mkuu watu wabaya wengi sio wote huwa wana roho mbaya. Na hiyo katika comment zao utaona mabaya yaliyowajaa rohoni. Wana hasira na kila mtu hasa wanayehisi ana mafanikio, sasa Shunie hayupo hivyo. Kudos to Shunie na warembo wengine wote wale kiroho safi wa JF.Duh yan mkuu unathaminisha urembo kwa mwandiko? Mi nadhani mwandiko wake unaweza kukusaidia kujua mambo yake mengine kama haiba na kadhalika
Mpuuzi wewe nyambafuichi nachokiona hapa ni upuuuzi mtupu