Shunie na Sakayo.

Shunie na Sakayo.

Nakuunga mkono Cousin. Hawa watu wamejaariwa karma ya pekee sana. Hata mimi nawapenda sana hawa dada zangu

Mwenyezi Mungu aendelee kuwabariki katika maisha yao yote, hapa duniani.

Mwaka 2019, uwe mwaka wao wa mafanikio na baraka tele....
Kabla hatujauanza mwaka mpya napenda tu niseme ya moyoni nyie ni miongoni mwa watu wa kipekee sana hapa Jf, mna mioyo mizuri sana,mnajali,na pia mnaujua ustaarabu na kuishi na watu vizuri.

Mwenyezi mungu awabariki,nawapenda sana.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuunga mkono Cousin. Hawa watu wamejaariwa karma ya pekee sana. Hata mimi nawapenda sana hawa dada zangu

Mwenyezi Mungu aendelee kuwabariki katika maisha yao yote, hapa duniani.

Mwaka 2019, uwe mwaka wao wa mafanikio na baraka tele....

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameen prisoner [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] tubarikiwe sote
 
Naunga mkono hoja hawa ni wanawake mashujaa kabisa wa mda wote humu JF
Kabla hatujauanza mwaka mpya napenda tu niseme ya moyoni nyie ni miongoni mwa watu wa kipekee sana hapa Jf, mna mioyo mizuri sana,mnajali,na pia mnaujua ustaarabu na kuishi na watu vizuri.

Mwenyezi mungu awabariki,nawapenda sana.




Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom