Shunie tangu nimpe ujauzito ananinyanyasa sasa, nataka nimletee mke wa pili

mfanye chochote unachojiskia
Basi..
Usijali, nipe dakika chache tu..ngoja nimpe onyo halafu niskilize majibu yake.
Usijibu quote ya mtu yoyote kwa muda wa hii nusu saa tu. Halafu nitakupa maelekezo
 
Kon kon nko! Mwenye nyumba kaingia,
Kijana nikupe onyo na kukutaadharisha, pia nakuamuru ufute kauli yako. Ati umemtia nani mimba? Eeeeehh?

Sitaki yakukute yaliyomkuta Babu Seya kwa kuchezea mali za wakubwa, and this is my last warning.
 
Nikushukuru Ambiele Kiviele kwa kuniita ila huu mstari wa mwisho ufute [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Nilikuambia zamani, ukiona mtu anakuzingua au kukusumbua nijulishe mimi, niuzie kesi mimi halafu wewe kaa pembeni.
*unataka nikusaidie kitu gani kwa sasa, nipo karibu yako.
-mchagulie adhabu huyo HR666
Hey hey hey!! Weeeee... tulia, Kandarasi zote zinazohusiana na shuni natoa mimi ni marufuku kwenda moja kwa moja kwa shunie.
 
Basi..
Usijali, nipe dakika chache tu..ngoja nimpe onyo halafu niskilize majibu yake.
Usijibu quote ya mtu yoyote kwa muda wa hii nusu saa tu. Halafu nitakupa maelekezo
Report ulete kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…