Shunie tangu nimpe ujauzito ananinyanyasa sasa, nataka nimletee mke wa pili

Nasubili Povu La Watu Hapa Waanze Kutokwa Sasa

Mwenye Nacho Ashakuja

Afu Braza Fakalava Kuna Jambao Ntakueleza Ngoja Kwanza Nimalizie Kunyonya Ichi Kiroba changu

Ntakuja Kukwambia
Jambo gani tena, linamuhusu ma bebi?
 
Hii mfyuuuuu hii[emoji1] [emoji1]
Eti una mimba kweli?
Anayo mkuu na hana jeuri ya kuitoa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mke wa pili ukimleta yeye atataka anuse jasho lako la kwapa tu...utamkumbuka na shunie
 
Sijawahi kufanya nae halaf unataka niuzi ujue hivi uyo chizi ni wa kumdiscuss
Chizi[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]

[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Kon kon nko! Mwenye nyumba kaingia,
Kijana nikupe onyo na kukutaadharisha, pia nakuamuru ufute kauli yako. Ati umemtia nani mimba? Eeeeehh?

Sitaki yakukute yaliyomkuta Babu Seya kwa kuchezea mali za wakubwa, and this is my last warning.
Muulize tatoo ya sehemu ile adimu kachorwa na nani
 
Hakuna Mahala Ambako Nimesema We ni Omy Dimpoz

Ebu Ngoja Kwanza Kwanin Umewaza Kuwa Wee Ni Omy Dimpoz.....??

Kuna Msemo Unaosema Aliwazo Mj.....

Ndio Litakalo Mtokea
Mkuu si wanasemaga Ommy jogoo wake hapandi mtungi kwa hiyo hata akiwa na demu anaishiaga kumuangalia tu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…