Shunie: The thread is special for you.

Nilikuwa na tabia ya kubana banja kwa kuhofia kuchekwa, nikiibana sana inaanza kuforce itoke ninajikuta nahema huku banja inakoroma kama kuku mwenye kikohoz[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kifua huwa kinatesa sana, alafu hilo banja lilikuwa linakautaratibu sio kazuri wakati pametulia ndio linataka ukohoe oooh huo mlio wake jamani Yaan ni aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…