Shunie you're my everything...

Status
Not open for further replies.
Huu uzi unanikumbusha uzi mmoja humu miaka ya nyuma alianzishiwa mrembo mmoja. Halafu uzi ukawa mrefu sanaaaaa lol! Usiniulize nini kilichojiri sikumbuki hata chembe 🙂🙂

hahahaahaaaaa...wengine hawaa

woyoooo..
let the luv lead!!!

haya na nyie mje kutuhadithia ya chumbani hapa hapa MMU...!!!

Shunie naomba niwe nyakanga wakoooo ili usinidhalilishe tafadhali
 
Huu uzi unanikumbusha uzi mmoja humu miaka ya nyuma alianzishiwa mrembo mmoja. Halafu uzi ukawa mrefu sanaaaaa lol! Usiniulize nini kilichojiri sikumbuki hata chembe 🙂🙂
nipe tu mrejesho japo kidogoo...tu!!nini kilijiri bann au mahaba mazitooo
 
Hongera zako pilika za wiki hii hazikuwa ndogo halafu wiki hii utadhani kila siku ilikuwa na masaa 48 badala ya 24 lol! 🙂🙂 halafu kesho inabidi niwajibike na mara nyingi Ijumaa ni mguu juu.

ni kumshukuru Mungu pia kwa afya
waisubiria kwa kua umechoka pilika da j3 Hadi ijumaaa
mimi imeanza leo kwa kweli
 
Love is in the air. Congrat's you people!!
Cc: Shunie
 
Well said Mkuu... Shunie mimi nakutunuku taji la kuwa shemeji yangu... Pamoja sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…