Asante shem waneHayawi hayawi mbona yamekuwa
Muendelee vivyo hivyo
Nilijua umelala ujuehatuna inda sieeee..afurahi na achekeleer
sent from motorola bapa and nokia jeneza
ndo naenda kulala sasa hv[emoji3] [emoji3] [emoji3]Nilijua umelala ujue
Lala unono nyakanga wangu mie tutaonana keshondo naenda kulala sasa hv[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Asante shem wane
hahahaahaaaaa...wengine hawaa
woyoooo..
let the luv lead!!!
haya na nyie mje kutuhadithia ya chumbani hapa hapa MMU...!!!
Shunie naomba niwe nyakanga wakoooo ili usinidhalilishe tafadhali
nipe tu mrejesho japo kidogoo...tu!!nini kilijiri bann au mahaba mazitoooHuu uzi unanikumbusha uzi mmoja humu miaka ya nyuma alianzishiwa mrembo mmoja. Halafu uzi ukawa mrefu sanaaaaa lol! Usiniulize nini kilichojiri sikumbuki hata chembe 🙂🙂
nipe tu mrejesho japo kidogoo...tu!!nini kilijiri bann au mahaba mazitooo
Nimesema sikumbuki G na wala mimi sikuwa muanzishaji wa uzi huo 🙂🙂 Mzima lakini weye?
haya bwana[emoji3] mi mzima mr BAK sijui yali yako weyyee
ni kumshukuru Mungu pia kwa afyaNafurahi kusikia hivyo G kwamba umzima, namshukuru Mungu niko poa kabisa. Naisubiri weekend kwa hamu kuu.
ni kumshukuru Mungu pia kwa afya
waisubiria kwa kua umechoka pilika da j3 Hadi ijumaaa
mimi imeanza leo kwa kweli
Love is in the air. Congrat's you people!!Thread nyingi zilianzishwa kukuzungumzia wewe shunie ila na mimi ngoja niwe miongoni mwa waliofanya hivo japo yawezekana walikuwa hawajui wanachokifanya
Nafurahi jf hasa chit chart kunikutanisha na mwanamke huyu shunie umekuwa faraja kwangu nje na ndani ya JF...
Nina mengi ya kuandika kukuhusu wewe Shunie ila tambua NAKUPAENDA ...
Let's our love shine forever ....
Teh teh hayaaa![emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Next is u get prepared
Hahaha ni matuamini yangu hujapata mwari kigego[emoji3] [emoji3] [emoji4] nyakanga nafunda mwari mieee jamaniiii
Mimi naomba niwe msaidizi wako kungwi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji3] sisi wa pwani jamaaa
Well said Mkuu... Shunie mimi nakutunuku taji la kuwa shemeji yangu... Pamoja sanaThread nyingi zilianzishwa kukuzungumzia wewe shunie ila na mimi ngoja niwe miongoni mwa waliofanya hivo japo yawezekana walikuwa hawajui wanachokifanya
Nafurahi jf hasa chit chart kunikutanisha na mwanamke huyu shunie umekuwa faraja kwangu nje na ndani ya JF...
Nina mengi ya kuandika kukuhusu wewe Shunie ila tambua NAKUPAENDA ...
Let's our love shine forever ....