Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Umefanya la msingi sana kuniita.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maserati dark angel
Hahahaha huyo amejichanganya kidogo. Angesema hawa ndiyo wale vitoto vya kishilawadu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya la msingi sana kuniita.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Maserati dark angel
Yule naniliiiii wa kule usiku wa manane utaniachia siyo?Nitatulia dada geni jaman siwezi waangusha kabisa nawakilisha taifa letu ujue
hapana[emoji3] [emoji3] [emoji3] huyu si kigegoHahaha ni matuamini yangu hujapata mwari kigego
Madame S
haina shida ili mwali wetu awe mwerevuMimi naomba niwe msaidizi wako kungwi
Madame S
Vizuri na matumaini yangu yupo na mwanaume sahihihapana[emoji3] [emoji3] [emoji3] huyu si kigego
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisahaina shida ili mwali wetu awe mwerevu
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] sana dada ake.I'm speechless hunnie chozi la furaha limenitoka love u moreee lee wangu me apa shunie [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] si kwa surprise hii utanitoa roho Baba D jaman
Hahaaa. My dada wanapita kimya kimya halafu kufwa kunafuata baadae. Teh teh teh.Asante mpenzi ahhah wenye wivu wakufwe kabisa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] usiniabisheee kabisaa...vya uvunguni viliwe uvunguniii
vya sebuleni peleka sebuleni
sisi watu wa pwani letu jandooo....
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Napata raha walahi kumbe da geni nawe uko vizuri.kumbe mwari wangu wajua eeeeehhh...kua kuna wasungooo...
sasa nataka ujifunze kutia maji kinywaaa..mda woteee!!!ili usipate ongea ya ndani kwenuu
Kuyajua yote hayo mpaka uwe umefunzwa na somo likaingia dada ake. [emoji125] [emoji125]Usungo haujawahi muacha mtu salama kabisa mtoto wa kike unatakiwa uwe na siri vya ndani vinabaki ndani sio uliyofanya yote chumbani unakuja kuyamwaga hadharani
hahaa nipo bossUmepotea
Pole sana best [emoji2] [emoji2]Wivu sina ila roho inauma
mie tenaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mwari wa pwani mieeeee....Napata raha walahi kumbe da geni nawe uko vizuri.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]nipe nipeee....
nikikupa utalewaaa....!!
mume ataka malezi sio mapenzi ya kishenzii...bibieee!!!
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]mie tenaaaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mwari wa pwani mieeeee....
sent from motorola bapa and nokia jeneza
ameeen ameennVizuri na matumaini yangu yupo na mwanaume sahihi
Yale mambo ya kuumbuana humu sidhani kama yatatokea me nawaombea wadumu milele
Madame S