Hongeraa Lee ila isiwe maigizo ya jf.... TutakosanaThread nyingi zilianzishwa kukuzungumzia wewe shunie ila na mimi ngoja niwe miongoni mwa waliofanya hivo japo yawezekana walikuwa hawajui wanachokifanya
Nafurahi jf hasa chit chart kunikutanisha na mwanamke huyu shunie umekuwa faraja kwangu nje na ndani ya JF...
Nina mengi ya kuandika kukuhusu wewe Shunie ila tambua NAKUPAENDA ...
Let's our love shine forever ....
Kutoka kwa nani[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Nina salam zakoo
tenaaaaa...ukaweka na makungwi ukakungwika kabisaa..mKuyajua yote hayo mpaka uwe umefunzwa na somo likaingia dada ake. [emoji125] [emoji125]
HahahaNakujuaa utaninyongaaaaa
Muone KwanzaaKwangu hapa
unachekaaaaa!!!!umefurahi etiiii eeehh[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huoni Mambo ya Uzi hayaa shemelaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] wapiii [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Nipe sasaaa bhanaaKwelii ninazoooo
Hahahanhaaa kweli kungwi kazi unaiwezaameeen ameenn
mwanaume kifua kabisa. masuala ya kuja kudhalilishana hapa hatuyataki na tutampeleka kwa kaka zetu wampe somooo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]tenaaaaa...ukaweka na makungwi ukakungwika kabisaa..m