Shunie you're my everything...

Status
Not open for further replies.
hao wasungo waso na unyagoo ndo wantutia sie aibu humu jamani looohh!!kutwa kutufanya tusionekane wa maana vya chooni wanaweka jikoni vya jikoni chooni...akaaaahhh!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] tyupa kuleeeee

tenaaaa....ndo nyakangaa lao mie staki aibu wala dharau chezea sie weyee
Shikamoo nyakanga
[emoji122] [emoji122] umeona eeehh...sisi wa pwani hatupikiwagi na wabaraa...kwetu mapishi ndo yalikoanzia ya jikoni mpk chumbani....!!!ukitaka vibibi,maharage ya kukata na biriani lakeee

tutapika sisi wenyeweeee......
 
Huu uzi unanikumbusha uzi mmoja humu miaka ya nyuma alianzishiwa mrembo mmoja. Halafu uzi ukawa mrefu sanaaaaa lol! Usiniulize nini kilichojiri sikumbuki hata chembe 🙂🙂
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
nipe tu mrejesho japo kidogoo...tu!!nini kilijiri bann au mahaba mazitooo
 
Umefanya la msingi sana kuniita.
Hahahaha huyo amejichanganya kidogo. Angesema hawa ndiyo wale vitoto vya kishilawadu
Ahahhah kajichanganya sana wazee wa kufukua makabuli
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…