Shutuma za Diamond Platnumz dhidi ya Forbes, sasa naanza kuamini maneno ya Vijiweni kuwa Bakheresa ni tajiri zaidi ya MO

Basi hastaili kuwepo kwenye reference kama hujui anachomiliki.
Mimi nimenukuu maneno ya shutuma zake vipi unibebeshe mzigo wa lawama wakutaka kujua kipi anamiliki
Sawa, ila mbona inakuwa ngumu kwa watu wa kawaida kuamini Mo ni tajiri kuliko SSB?
 
Wewe unayemjua MO vizuri nadhani ungemuelezea maana naona umezidi kuungana na Watu wa Vijiweni wanao amini kuwa SSB ni tajiri kwa kuataja baadhi ya utajiri wake
 
Mimi nimenukuu maneno ya shutuma zake vipi unibebeshe mzigo wa lawama wakutaka kujua kipi anamiliki

Sawa, ila mbona inakuwa ngumu kwa watu wa kawaida kuamini Mo ni tajiri kuliko SSB?
ndo maana wakawa watu wa kawaida wanaoamini diamond ni Tajiri kisa anamiliki prado na share kidogo kwenye kituo cha redio….jifunze kuamini wataalamu na sio vijiwe vya kahawa
 
Dhana ya Diamond ni kuwa Forbes walipaswa kumfuata na kuwapatia full details toka kwake labda angewatajia hizo assets, Cash na liabilites na hapo sio lazima Diamond awe juu ya Davido
 
Nyie wapumbavu tajiri yeyote anapimwa kwa ulipaji wake wa kodi na tozo za serikali,.Forbes hawaji Vijiweni kuuliza punguani kama nyie mnaohesabu Utajiri wa mtu kwa macho. Nini MO, Bakhresa hamfikii hata Rostam kwa Utajiri.
 
ndo maana wakawa watu wa kawaida wanaoamini diamond ni Tajiri kisa anamiliki prado na share kidogo kwenye kituo cha redio….jifunze kuamini wataalamu na sio vijiwe vya kahawa
Acha kudharau Vijiwe vya kahawa, kule kuna watu wa kila aina hata hao unaowaita wasomi huwa jioni wakirudi toka makazini wanaenda Vijiwe vya Kahawa kubadilishana mawazo na walalahoi.
 
Nyie wapumbavu tajiri yeyote anapimwa kwa ulipaji wake wa kodi na tozo za serikali,.Forbes hawaji Vijiweni kuuliza punguani kama nyie mnaohesabu Utajiri wa mtu kwa macho. Nini MO, Bakhresa hamfikii hata Rostam kwa Utajiri.
Punguza ukali wa maneno, Mpumbavu mwenyewe
 
Diamond anashida ya kuji overrate his just a regular musician just above average sema kwa kuwa kashika head lines za East Africa ndio kachanganyikiwa na kujitoa kwenye uhalisia hao anaotaka kushinda nao wanamiliki nyumba adi USA na foreign cars tupu izo toyota V8 used zinampa kiburi kijana wz tandale.He should consider himself luck ata Forbes wamemtaja ata..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Huwa sikurupuki kuandika mambo ambayo sijayafanyia utafiti wa kina kwa kutegemea vichwa vya habari vya magazeti ya udaku.
Sasa lipi la udaku? kuwa Bakheresa tajiri? kuhusu la Bagamoyo sugar wala sio udaku ni la kweli na hata huyo muwekezaji wa kwanza kaishtaki Tanzania sasa ungekuwa specific lipi la udaku.
 
Acha kudharau Vijiwe vya kahawa, kule kuna watu wa kila aina hata hao unaowaita wasomi huwa jioni wakirudi toka makazini wanaenda Vijiwe vya Kahawa kubadilishana mawazo na walalahoi.
huwezi kua Msomi na ukapata mda wa kukaa hivyo vijiwe...labda uwe usalama/..ila kwakua umeamua kubeba ujinga...sina mda wa kukusaidia huo mzigo….mjinga bnafundishika...mpumbavu ni kumuacha tu
 
ukiwa unaelekea Tanga na kuona yale mashamba ya mkonge unayaangalia hadi unalala ukiamka hujamaliza ujiulize ni nani
hayo mashamba ya mkonge unayozungumzia ni yale ambayo aliyanunua kiujanjajanja serikalini enzi za utawala wa mkapa na sera yake ya ubinafsishaji?.

ni mashamba haya ambayo aliyatumia kama dhamana kuchukulia mikopo mikubwa kwenye mabenki ya nje?.

ni mashamba haya ambayo yalimpelekea jiwe kutumia umafia kumteka MO na kumpeleka mafichoni abinywe makende ili akiri kuyarudisha serikalini au atoe pesa kama fidia?.
 
haya mawazo yako ndo maana yanakufanya wewe uwe masikini na yeye kua billionea….na ukiendelea nayo ukizeeka lazima uwe mchawi…. hamnaga utajiri wa haki mzee ndo maana wakizeeka wanaishia kutoa sana misaada kujisafisha
 
Nyie wapumbavu tajiri yeyote anapimwa kwa ulipaji wake wa kodi na tozo za serikali,.Forbes hawaji Vijiweni kuuliza punguani kama nyie mnaohesabu Utajiri wa mtu kwa macho. Nini MO, Bakhresa hamfikii hata Rostam kwa Utajiri.

Vere vere truu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…