Shutuma za Diamond Platnumz dhidi ya Forbes, sasa naanza kuamini maneno ya Vijiweni kuwa Bakheresa ni tajiri zaidi ya MO

Mkuu ni kusahihishe kidogo kweli bakhresa ni matajiri Mara dufu kuliko moo,,
Inawezekana ikawa ni moja Kati ya ya kampuni zenye ukwasi wa kutisha barani africa lakini tofauti ni kwamba bakhresa ni group of company .
Na Forbes wanakadiria utajiri wa MTU mmoja mmoja..
 
Jamani hayo ni makadilio tu mapovu ya nini sasa,mbona akina Harmonize & king kibamia wameuchuna hawana muda wa kujilinganisha na mafreemasons
 
una akili kweli wewe...unajua ellon musk ana kampuni ngapi ndani yake au unajua google ni part ya Alphabet company...hivi leo kijiwe kizima ndo mmeazimana simu kuja kucomment humu nn
 
Dhana ya Diamond ni kuwa Forbes walipaswa kumfuata na kuwapatia full details toka kwake labda angewatajia hizo assets, Cash na liabilites na hapo sio lazima Diamond awe juu ya Davido

Alitakiwa kuwa kimya bcz hizi report zinatoka kila mara alichotakiwa ni kuwapa invatation waje hao forbes then anawapa full details za utajiri wake baada ya hapo nexr report wana toa report iliyo na utajiri wake current na sio kuandika huu upuuzi ambao hata wanamziki wezake wanamcheka….
 
Sasa mbona Bakharesa halii kutotajwa kama Mondi? Hivi tajiri/mwenye fedha huwa anajisifu?
 
Haka kajamaa, eti hana akir!
 
una akili kweli wewe...unajua ellon musk ana kampuni ngapi ndani yake au unajua google ni part ya Alphabet company...hivi leo kijiwe kizima ndo mmeazimana simu kuja kucomment humu nn
Mimi ntakuelewesha vizuri tu ambapo hujaelewa sitakutukana Wala nn mkuu,,
Hata metl ya moo ina makampuni mengi tu umo ndani lakini owner ni moo dewji,,
Bakhresa group of companies Kuna kampuni nyingi Sana humo ndani zinazomilikiwa na wanafamilia wa familia moja ya bakhresa,,mzee bakhresa mwenyewe siku nyingi tu alishakaa pembeni makampuni yanasimamiwa na wanae mkuu sijui ka unajua hilo ..
Kuna kampuni nyingne zipo chini ya yusuphu zingine Aboubakar na wanafamilia wengne nazani utakua umenielewa mkuu.
 
Hata lugha yake sio nzuri hauwezi ukasema stupid nadhani kosa ni Manager wake hakufanya kazi yake au Diamond hakumuhusisha manager wake katika hili
 
Vichwa panzi uta wajua hao forbes ni nani hadi wasi semwe ni sawa na gazeti la nipashe tu .tofaut yao ni wako America na ni famouse ..sasa wasi semwe wana mchango gani kwa taifa
 
unajua maana ya managing director na executive director.....Unajitukana mwenyewe kwa uwezo wako wa kufikili...mkurugenzi mkuu na mmiliki wa makampuni ya azam bado ni baba hao wengine ni wakurugenzi watendaji...hivi mnadhani google ni ya kusearch xvideo tu kaka na sio mambo ya maendeleo_???????
 
nikutarifu tu mkuu mkurugenz mkuu wa Azam group of companies sio mzee bakhresa Tena mkuu,,..ni Aboubakar Saeed Salim bakhresa mtoto mkubwa wa mzee ebu nakuomba na we ugoogle Kama ulivyoniambia Mimi kuangalia x ,mzee Alishachana na Ivo vitu,,..na ndani ya hayo makampuni zipo kampuni nyingi tu msimamizi na mwenye share nyingi ni yusuph bakhresa ,nyngne zinasmamiwa na wanadungu wengne wa mzee bakhresa ,,so hizo Mali zimetapanywa kwa watu mbali mbali kwenye familia chini ya mwamvuli mmoja wa Azam group of company elewa mkuu,,
Hatupo apa kushindan nan mshindi tunaeleweshana tu mkuu.
Nadhani umenielewa mkuu
 
Taratibu mkuu
 
Hata kama hawajasema ukweli kwani wamempora hela zake,kwani amevunjiwa heshma?
Hebu atulie tupambane na Tanesco na mafundi wao waliokosa uwezo wa kuchokonoa sehemu ndogo mtandao ukakaa sawa
 
Taratibu mkuu
Hakuna anachoelewa huyo mkuu matusi tu ndo yamemjaa..
Bado Hadi Leo anadhani mkurugenzi mkuu wa Azam group of companies ni mzee bakhresa,,
wakati mzee Alishachana na Ivo vitu kitambo tu toka mwanae mkubwa Aboubakar alivyorudi kutoka masomoni marekani.
akapewa cheo Cha mkurugenzi mkuu wa makampuni yote ya bakhresa ,so as for now Aboubakar ndio boss mkubwa,Ila zile ni Mali za family kila mtu Ana Chaka zake kapewa anaendeleza.
 
Hiyo list ya fobes kuna wasanii hawajulikani vyanzo vyao vya mapato kweli mtu unaamini msanii wa Nigeria anaitwa M.I au akothee ni bilionea
 
Hata kama hawajasema ukweli kwani wamempora hela zake,kwani amevunjiwa heshma?
Hebu atulie tupambane na Tanesco na mafundi wao waliokosa uwezo wa kuchokonoa sehemu ndogo mtandao ukakaa sawa
Diamond anaweza kua ha jasoma Ila inawezekana ana washauri wazuri au kujichanganya kwake na watu waliondelea kwenye sector ya biashara kumemfungua mnoo mawili matatu anapata.
Mkuu wasanii naongelea big artist dunian uko ambako ndugu yetu huyu anaenda Sana kujichanganya wanategemea Sana endorsement kujiongezea kipato na kuendelea kua wakubwa na matajiri.
So mtu akikukadiria wewe utajiri wako ni $mil5 means hata deal zako utakazopata itabdi ziendane na ukwasi wako means hapo mtu kaja Sana labda $100000.
huwez kupata deal itayozidi kiwango cha utajiri wako.
ndo maana wasanii wenye akili wanakua wakali Sana ukiwakadiria padogo.
Ukiskia Jay z kapata deal ya $mil.5
Moja ya vigezo vikubwa wanavyoangalia wat kuekeza kwako ni thamani yako currently.

Kama Jay z ana utajiri wa $bilion huwez kwenda na $100000 ukawekeze kwake lazma ujipange.
Na hicho ndio kinafanya diamond awe mkali.
Yale matoleo ya Forbes Yana maana kubwa Sana mkuu zile ndo reference zenyewe waheshmiwa wanaztumia if they need to invest to someone or in some bussness.
 
Wale akina zari na wema pamoja na uzee wao walikuwa wanamfundisha lugha na uchumi lakini sasa mtupu hivi kawekeza wapi na nini maana utajiri unapimwa kwa rasilimali ulizowekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…