ShyRose Banji mitaani na bodaboda, ni mtu wa WATU?

ShyRose Banji mitaani na bodaboda, ni mtu wa WATU?

mambo ya helmet wapi na wapi jamani mtatuchafulia nywele zetu hamjui tunazitengeneza kwa gharama
sasa hayo makofia yenu yanatuondolea shepu za nywele zetu bhana sheria hii sijaipenda ya kuvalishana makofia
Mjenga nchi ndiye mbomoaji huyohuyo
 
yaaani kichwa cha habari hakijasadifu yaliyomo mi nilijua mambo yetu yale
 
mwanangu ndo babu yako huyo alivyo si unajua mababu na mabibi wakizeeka wanavyokuwa?
wewe shangaa tu halafu nenda kanywe uji wako kule nimekuwekea mama yako amesema nikuwekee yeye
kaenda ngomani kule nguldoto
yaaani kichwa cha habari hakijasadifu yaliyomo mi nilijua mambo yetu yale
 
Wiki lililopita nimemsindikiza jamaa yangu alikua anakwenda Norway kutoka mwenge mpaka kuikuta tazara ilituchua karibu masaa matatu.Kama unataka kwenda airport ondoka kwako masaa 7 kabla.
 
Mwanasiasa machachari Shy akiwa mtaani.....


20140618-162028-58828408.jpg


20140618-162104-58864207.jpg
 
Kwahiyo mwendesha boda walau amefaidi kiasi chake joto,harufu ya pafyumu naaa...
 
Angekamatwa na polisi kwa kutovaa helmet yeye na dreva wa pikipiki. Hafai kama hawezi kuheshimu sheria.
 
Hivi mtu akipanda boda boda ndiyo anakuwa mtu wa watu...hapo Msasani anakwepa foleni ni kawaida kwa maisha ya Dar, haujawahi kumuona Kinana anaendesha gari la waya.
 
Hivi mtu akipanda boda boda ndiyo anakuwa mtu wa watu...hapo Msasani anakwepa foleni ni kawaida kwa maisha ya Dar, haujawahi kumuona Kinana anaendesha gari la waya.

viongozi wa ccm wakishapata madaraka hawataki kujichanganya tena na wananchi...hii imenishangaza
 
Hivi mtu akipanda boda boda ndiyo anakuwa mtu wa watu...hapo Msasani anakwepa foleni ni kawaida kwa maisha ya Dar, haujawahi kumuona Kinana anaendesha gari la waya.

Kinana na Nape kula kwa mama lishe na kunywa kinywaji haramu wakaonekana nao ni watu wa watu.IQ....
 
Wiki lililopita nimemsindikiza jamaa yangu alikua anakwenda Norway kutoka mwenge mpaka kuikuta tazara ilituchua karibu masaa matatu.Kama unataka kwenda airport ondoka kwako masaa 7 kabla.
Kama unakwenda Ausha bora upande bus sasa tena linakukuta Mbezi mwisho kabisa maana ukiongeza na ku-check in masaa 9 na saa moja na nusu angani inafika masaa 11 wakati bus masaa 7 hivi upo Arusha na unakuwa umekagua shughuli za maendeleo kwa kuangalia mandhari
 
Hivi mtu akipanda boda boda ndiyo anakuwa mtu wa watu...hapo Msasani anakwepa foleni ni kawaida kwa maisha ya Dar, haujawahi kumuona Kinana anaendesha gari la waya.

ndiyo gari gani hilo?
 
Shyrose hajui kwamba style hii ishachuja? Mbona ya kitambo abuni mpya!
jamnakamnvba.jpg

Naona anaelekea gereji kwa jaffarai kwa mbele.
 
vizuri alivyofanya ila i wish nawenzie pia wawewanagwama kama yy na ikiwezekana wasifike kabisa kwenye vikao vyao vya bunge maana bongo we learn through mistakes ...... na mistake izo mpaka ziwatokee wanaojiita wakubwa
 
Back
Top Bottom