Si ajabu Lissu akishinda uenyekiti, CHADEMA kikafutiwa usajili 🤣

Si ajabu Lissu akishinda uenyekiti, CHADEMA kikafutiwa usajili 🤣

Nimewaza tu,kama ni kweli kwamba Lisu amegoma kabisa kulamba asali anataka nini basi?

Yaani anafanya siasa kwa lengo gani kama lengo lake sio kulamba asali?

Kiukweli naona nyota nyota tu🤣🤣🤣🤣🤣
Angelamba kama vile alivyofanya saccos owner,
 
Kama Vyama vya Upinzani vinaogopa kuukabili utawala wa kiimla wa CCM na Serikali yake kwa kuogopa kufungiwa basi vyama hivyo HAVITUFAI.
 
yanini kulambishwa asali kwenye kijiko wakati kuna pipa zima limejaa asali..yaami wahuni wana billioni 25 alafu eti wanakupoza billioni 2 tu ili usiwabughuzi si bora upambane ukaumiliki ww huo mzinga.
Ulichojibu ndo uhalisia.
 
TL hashindi kaka... hilo ondoa shaka.

GghwtfjXcAAol8f.jpeg
 
Fortilo huu wito unawahusu sana wa aina yenu!
Hizi ni wishes za wanaharakati

Siku zote wanaona wanacheleweshwa

Kupambana kama mabeberu.

Hiyo sio siasa brother... Lakini hakuna mtu amezuiwa kufanya anachotaka kufanya hii ni nchi huru.

Platform zipo nyingi sana...

Hawa Diaspora wa SyW wanataka wawe wanaangalia watu wakiuwawa kwenye TV na kuandikia barua USAID na DFID 😂
 
Back
Top Bottom