Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
JF ipi??kwanini Lissu anaonekana kutoaminika hapa JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF ipi??kwanini Lissu anaonekana kutoaminika hapa JF?
Idk..JF ipi??
Angelamba kama vile alivyofanya saccos owner,Nimewaza tu,kama ni kweli kwamba Lisu amegoma kabisa kulamba asali anataka nini basi?
Yaani anafanya siasa kwa lengo gani kama lengo lake sio kulamba asali?
Kiukweli naona nyota nyota tu🤣🤣🤣🤣🤣
Ushauri wa hovyo kabisa🤣🤣🤣🤣Angelamba kama vile alivyofanya saccos owner,
Ulichojibu ndo uhalisia.yanini kulambishwa asali kwenye kijiko wakati kuna pipa zima limejaa asali..yaami wahuni wana billioni 25 alafu eti wanakupoza billioni 2 tu ili usiwabughuzi si bora upambane ukaumiliki ww huo mzinga.
Kama Vyama vya Upinzani vinaogopa kuukabili utawala wa kiimla wa CCM na Serikali yake kwa kuogopa kufungiwa basi vyama hivyo HAVITUFAI.
Anshinda asubuhi tu.TL hashindi kaka... hilo ondoa shaka.
Tukutane tarehe 21, Mbowe atapigwa kipigo cha mbwa kokoTL hashindi kaka... hilo ondoa shaka.
Hizi ni wishes za wanaharakatiFortilo huu wito unawahusu sana wa aina yenu!
Ni kweliNimewaza tu,kama ni kweli kwamba Lisu amegoma kabisa kulamba asali anataka nini basi?
Yaani anafanya siasa kwa lengo gani kama lengo lake sio kulamba asali?
Kiukweli naona nyota nyota tu🤣🤣🤣🤣🤣