Uchaguzi 2020 Si amejenga Madaraja nchi nzima? Vipi tena anamhofia Lissu?

Uchaguzi 2020 Si amejenga Madaraja nchi nzima? Vipi tena anamhofia Lissu?

Mackanackyyy

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2019
Posts
2,338
Reaction score
5,271
Mgombea wa CCM kwa kiti cha Urais hajapata kuwepo duniani..ni kama Masihi

Lakini tatizo kubwa la huyu mgombea ni mwoga mno...yeye hata lugha tu ya Kiingereza anaogopa..

Lkn pamoja na Woga wake Huyu mgombea kwa Miaka mitano Amejenga Madaraja na flyovers nchi nzima

Amenunua Ndege, akajenga Uwanja wa hizo Ndege Chato

Anajenga Stieglers Gorge Hydroelectric Power Project

Amefanikiwa kuitoa Tanzania kwenye Jumuiya za Kikanda na UN

Amefanya Kampeni peke yake kwa Miaka mitano

Amefanikiwa kuliweka bungeni mfukoni na Spika wa Sasa ni kama Mtumishi wake wa Nyumbani

Bado yeye ni Jiwe...kwa maneno yake mwenyewe haogopi chochote

Sasa mafanikio yote haya Bwana Mkubwa bado anaogopa nini? Akutane na Lissu kwenye kampeni, aache woga...
 
Tatizo ni kwamba: Mafanikio haya hayagusi "welfare of a grass-root person" ambaye ndiye mpiga kura.
 
.Magufuli ameshapewa taarifa na dola kwamba akimuacha Lisu apige kampeni bila bughudha ATARUDI CHATO.
 
CCM waongo sana, madaraja nchi nzima wapi, the whole government has turned into deep corruption ever in the history of our nation.
 
CCM waongo sana, madaraja nchi nzima wapi, the whole government has turned into deep corruption ever in the history of our nation.
 
Hawalali hawapumui[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Wanamuogopa Lissu kuliko kifo [emoji3]

Mataga na Lumumba wana hali mbaya sana
Mtu kuwa kimya, kuna mambo matatu: kudharauliwa, kusamahewa au kuogopwa.
Hivi Lissu anatisha kwa lipi mpaka aogopwe?
Sina shaka anasamehewa na kudharauliwa tu.
 
Kwa hali iilivyofika Lissu na Jiwe hawawezi kukaa nchi moja kwa miaka mitano, lazima mmoja atakuwa uhamishoni ama gerezani ama marehemu. Kwa sasa support ya umma na jumuiya ya kimataifa inaelekea kwa Lissu. Jiwe kama anataka kusurvive achunge sana kauli zake na matendo yake. Akubali mabeberu sio watu wa kuwadhihaki atakavyo .
 
Hata mimi ningemuogopa Lissu, hebu fikiria...
Nikilala, Lissu yupo!
Nikiamka, Lissu yupo!
Nikila, Lissu yupo!
Nikitembea, Lissu yupo!
Hata mimi ningemuogopa Lissu, je wewe?

Hata mimi ningemuogopa Lissu, hebu fikiria...
Anakamatwa, yupo!
Anaswekwa ndani, yupo!
Anabambikiwa kesi, yupo!
Anamiminiwa risasi, yupo!
Hata mimi ningemuogopa Lissu, je wewe?
 
Watanzania hawawezi kumchagua tena rais dhalimu aliyewafanya washindie mlo mmoja kwa siku.

Wameamua kumchagua Lissu ambaye anajali ustawi wa watu na sio vitu.

Meko arejee Chattle mapema kabla ya siku ya kupiga kura.
Si awataje ili wakamatwe! Yeye anaogopa nini kuwataja hao watu? Si alisema anawafahamu?
 
Mgombea wa CCM kwa kiti cha Urais hajapata kuwepo duniani..ni kama Masihi

Lakini tatizo kubwa la huyu mgombea ni mwoga mno...yeye hata lugha tu ya Kiingereza anaogopa..

Lkn pamoja na Woga wake Huyu mgombea kwa Miaka mitano Amejenga Madaraja na flyovers nchi nzima

Amenunua Ndege, akajenga Uwanja wa hizo Ndege Chato

Anajenga Stieglers Gorge Hydroelectric Power Project

Amefanikiwa kuitoa Tanzania kwenye Jumuiya za Kikanda na UN

Amefanya Kampeni peke yake kwa Miaka mitano

Amefanikiwa kuliweka bungeni mfukoni na Spika wa Sasa ni kama Mtumishi wake wa Nyumbani

Bado yeye ni Jiwe...kwa maneno yake mwenyewe haogopi chochote

Sasa mafanikio yote haya Bwana Mkubwa bado anaogopa nini? Akutane na Lissu kwenye kampeni, aache woga...

Hodiii. Tunaomba kura. Tumenunua ndege.
 
Back
Top Bottom