Si atakuwa ananipenda au najidanganya?

Si atakuwa ananipenda au najidanganya?

Jipimie kaka! tena weka mitego migumu migumu, kama ya kulala na dada yake, au kumtumia watu wamtongoze huku wewe hujibu sim zake wala sms. changa vipimo kama 3 au 4 kwa pamoja alafu kama baada ya hapo bado anakupenda ndio muendelee next level. Pia hata mkiwa ndani ya ndoa endelea kumpima pima kila wakati kuhakikisha bado anakupenda.
hahahahaha

hili ni wazo lakuumizana kabisa halafu uliemtuma akila mzigo utafanya nini si ndo kuja kujaza server tu kwa malalamiko..
 
hili ni wazo lakuumizana kabisa halafu uliemtuma akila mzigo utafanya nini si ndo kuja kujaza server tu kwa malalamiko..
Michango ya saa hizi ni ya kuvuta usingizi tu ndugu yangu. Mi naongea kwa fumbo... nataka mwenyewe aone vile anatumia makamasi, sio ubongo.
 
Yaani hapo wewe ndio unajidanganya.........huyo dada anakufahamu vizuri sana.

Kweli nyoka wa maonyesho hana sumu.
 
Nimegundua jamaa hajiamini....ndo maana kitu kidogo anaki-judge, huyu jamaa badala ya kukaa nae chini amuulize huyo mdada nini tatizo anakuwa hatext au hapigi..tayari anatengeneza mitego..yaani huyu design wale wanaume wanaoaga wamesafiri ili arudi usiku wa manane kufumania akirudi anakuta mdada wa watu anajitazamia Tv au kalala..,..limemshuka!!

binafsi namshangaa hata huyo dada kwa kumpa cmu,unajua huyu kaka analeta mfumo dume,we cmu yangu inakuhusu vp ukae nayo wiki kwani ni yeye 2 ninae duniani,wanawake nakubali kabisa tunawapa wanaume nafasi ya ku2kalia kichwani,mitego yote nafail na nakupenda hapo je?
 
binafsi namshangaa hata huyo dada kwa kumpa cmu,unajua huyu kaka analeta mfumo dume,we cmu yangu inakuhusu vp ukae nayo wiki kwani ni yeye 2 ninae duniani,wanawake nakubali kabisa tunawapa wanaume nafasi ya ku2kalia kichwani,mitego yote nafail na nakupenda hapo je?
Wala usishangae,kila mtu kakua na kapewa malezi ya aina yake! tabia yako mbaya si kama ya hao wengine wanaofanya kwa nia moja wakijua mme ni nini kwao na katika familia kwa ujumla.Usipotoshe wengine kwa tabia yako hio!
Siku zote utamjua tu mwanamke/msichana ambaye hana malez mazuri!! pole sana kaa na kiburi chako ww tu!!!
 
Sasa unataka kumpima kitu gani mtu ambae huna mahusiano nae?Kinachokunyima kumuuliza ni nini?Watu wengine bana . . . .kama domo zege mtumie hata sms.
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm. japo........
 
Wana jf,i have confirmed myself that nampenda na nipo tayari kuwa naye kimaisha.Huyu msichana nashindwa kumsoma anawaza nn juu yangu,hapo mwanzo niliwahi kumu-approuch ila nilimsoma hakuwa tayari ingawaje hakunitamkia rasmin kwamba hakunikubalia,bac,nikaachana naye tukawa tu nipo karibu naye kikawaida.Sasa hivi naona amebadilika amezidi kunichangamkia,ananiambia mambo yake nahic ni ya siri,ninapomuagiza kitu hacheleweshi,ananitaka nifike kwao bila ya wacwac ukizingatia anaishi na wazee wake.kwa hali hiyo nahic atakuwa amedevelop felling,lkn nashangaa hanipigii cm mpk me nianze,hanitumii hata sms,hajanitaka msaada hata siku 1,sasa nataka nimpime ili kumjaribu ni kwa kiasi gani ananijali,tayari nilianza kwa kumuazima cm yake niitumie muda wa wiki 1 bila ya yy kuepo hewani,hili amenikubalia nisaidieni jinsi ya kumpima ksb nimepanga kumfungulia ukurasa mwengine mwishoni mwa mwezi huu,ikiwa atafauli mitego yote nitakayomuwekea.Au mnanambiaje?maana hawa wadada wanauwezo mkubwa wa kutupelekesha.

unataka tukupe mitego,,,!?
 
we huoni huyu ni anaumwa?
mwanamke keshakubali kufunga ndoa..sasa wewe unataka kumpima
umpime nini tena?
we muoe ukae nae ndo utamjua vizuri na yeye atakujua vizuri
feelings ndo zitakuwa strong.....sasa yeye kakazania nimpime nimpime.... si kuumwa huko?

hhahahhihihiiiiihiihahahahaihihhahaahah.... dogo anatuletea zile za form II....! ngoja nifunguke nimwambie kitu....! huku kuna maproffesor ambao wamekubuhu kwenye mambo ya malavi davi bwana leta hoja zenye nguvu,,, kama wife amekufumania na unataka kumpoza na mambo kama hayo....! umenisoma dogo hahaaaa mjini sio kuzuriiiiii!!!!
 
Jipimie kaka! tena weka mitego migumu migumu, kama ya kulala na dada yake, au kumtumia watu wamtongoze huku wewe hujibu sim zake wala sms. changa vipimo kama 3 au 4 kwa pamoja alafu kama baada ya hapo bado anakupenda ndio muendelee next level. Pia hata mkiwa ndani ya ndoa endelea kumpima pima kila wakati kuhakikisha bado anakupenda.
hahahahaha

Kweli ushauri mwingine ni kama nguvu za giza! hata huyo mgonjwa mtamuumiza! wagosi walinena hili.....
 
binafsi namshangaa hata huyo dada kwa kumpa cmu,unajua huyu kaka analeta mfumo dume,we cmu yangu inakuhusu vp ukae nayo wiki kwani ni yeye 2 ninae duniani,wanawake nakubali kabisa tunawapa wanaume nafasi ya ku2kalia kichwani,mitego yote nafail na nakupenda hapo je?

Nadhani hajawahi kupendwa na mwanamke katika sekta ya lavidavi..sasa kapendwa anachachawa! Anatamani hata akamfanyie operesheni ya moyo aone huko ndani kunani... Jiamini bana,otherwise utajitengenezea stress ya kufuatilia mitego halafu mara mitego haiteguki..lazima ujute!!
 
Back
Top Bottom