Kwa sababu yeye wa kanda ipi? Mbona unajichanganya sana,kama ni mahaba kwa slaa kaungane na Josephine kuwa naye alipoHakuna wanawake? Wanaoweza kushika nafasi za makamo au katibu mkuu? Ccm watakisambaratisha kwa propaganda za ukanda!!!
Hii nafasi ingemfaa sana Dr Slaa....
Nipo nae huku uraya kama nyumba ndogo tunakura maisha, muha unaringine????Kwa sababu yeye wa kanda ipi? Mbona unajichanganya sana,kama ni mahaba kwa slaa kaungane na Josephine kuwa naye alipo
Mnyika ni wa kanda gani?Mkuu, Mnyika si wa kaskazini
Hizi sifa ulizozitaja anazo Selasini mnyika hapa katikati amepoteza mwelekeo mnoSifa za niliyowataja ni hizo ambazo akina Heche hawana kwa sasa.
Safari ni mzee hawezi mikiki ya chadema nafasi hii inahitaji mtu mwenye nguvu na akiliNazani professor safari itapendeza zaidi.
Mwambe alipona chupuchupu mlisha taka kumnunuaHahahaaaa....... Wewe sifa ya Selasini huijui ambayo Cecil Mwambe hana?!
Acha utani bwashee!
Kabisa si heche, mnyika wala Mwambe binafsi hata Selasini wanaweza kuvaa viatu vya Mbowe katika kipindi hichi kigumu kuwahi kutokea tangu upinzani umeanzishwa Tanzania 1992.Unataka akae mtu wa "kuunga juhudi" CDM ife? Kwa mazingira ya sasa ya udikiteita wa Jiwe, MBOWE should remain! Kama kungelikuwa na hali shwali ya kisiasa, Mbowe nami nngelisema apumzike, lkn kwa mazingira ya sasa ambapo watu wanarubuniwa kwa mabilioni, nani wa kuzikataa katika safu ya CDM? Wapo lkn kwa sasa tumuache Mbowe apambane na Jiwe! Lisu anaweza kuzikataa billions za Jiwe! Lakini kwa sasa naye waache kwanza.
That is my point!Kabisa si heche, mnyika wala Mwambe binafsi hata Selasini wanaweza kuvaa viatu vya Mbowe katika kipindi hichi kigumu kuwahi kutokea tangu upinzani umeanzishwa Tanzania 1992.
Mbowe bado anafaa kulinga na kipindi kigumu wanachopitia wapinzani wa Tanzania
Wazo zuri la ukomavu wa demokrasiaLa msingi kama wanaona wanafaa basi wawe huru kugombea na wapiga kura wata amua ni nani wanamtaka kuwa mwenye kiti wao. Watupe uchaguzi wa kistarabu unao endana na katiba yao(good governance ina anzia chamani).
Wasiwe kama wale wanaosema utaratibu wetu ni............hata kama utaratibu huo umepitwa na wakati.
Slaa hafai kwenye mapambano niwepesi Sana kurubuniwaHakuna wanawake? Wanaoweza kushika nafasi za makamo au katibu mkuu? Ccm watakisambaratisha kwa propaganda za ukanda!!!
Hii nafasi ingemfaa sana Dr Slaa....
Wewe unataka je?Naona unataka uturudishe kule kule! Kaskazini. Lakini ahueni umeunga mkono kamanda kukaa pembeni na kuwapisha wengine.
Safi jawabu mujarabuWanachadema wao ndio wanafahamu watamchagua nani kati ya wale watakaokuja kuchukua fomu .
Magufuli anaweza kutawala akiwa na kivuli cha nguvu ya dola ukimwachia chama kama CCM Bila nguvu ya dola hawezi kuongoza hata mwezi chama kitapasuka vipande vipandeMagufuli Hakuwai Kuwa Hata Mwenyekiti Wa Kijiji Wa Ccm Lakini Leo Ni Mwenyekiti Wa Ccm Taifa.
Tundu Lisu alitakiwa apumzike walau 2020 ashike kijiti cha ugombea uraisiTundu Lisu haruhusiwi kugombea? Naaamn yule ana msimamo thabithi / Tuondoke Kaskasini tuwekeze na maeneo mengine
Na kipindi hiki ambacho demokrasia imesilibwa upinzani wahitaji kiongozi shupavu aina ya Mbowe la sivyo tutakuwa na upinzani wa kina mlema na cheyoUmemalizia kwa Mh Mbowe apumzike kwa lipi? Mbona umemalizia kirahisi sana kuliko ulivyoanza!! Ebu rudi tena utueleze apumzike kivipi, na awe mshahuri kivipi.
Pili ujue Chadema ni chama cha siasa, chenye lengo la kushika dola.
Kwahiyo hakijafikia hilo lengo bado, sasa unapokuwa na mwenyekiti ambae amekitoa chama kikiwa na wabunge wanne, mpaka kufika 70 hii leo, halafu unasema apumzike ili iweje?
Hauoni ni kurudisha chama nyuma?
Na kama chama tawala chenyewe, mwenyekiti wake ni yule anaekuwa Rais, hauoni hapo kuwa bado kinaogopa kumpa uenyekiti mtu tofauti ili asije mvuruga Rais?
Mh msomi mimi nakupinga kwa hoja zako, uongozi ni kalama na sio kila mtu anafaa kuongoza. Wengine lazima waandaliwe ili waongoze, kwa chama chetu Chadema mimi nasema tunamuhitaji Mh Mbowe kuliko yeye anavyokihitaji chama chetu.
Naunga mkono hoja ya Mh Mbowe kugombea tena uenyekiti wa chama, mpaka pale Tanzania itakapo pata Rais sahihi wa kuongoza nchi.
KabisaKinachotakiwa ni kiongozi Mkuu.
Uongozi ni Hekima awe wa kusini,kaskazini,mashariki au magharibi ili mradi atekeleze majukumu yake ipasavyo.
Bado hawezi kuvaa viatu hivimi binafs na muunga mkono John Heche kuwa Mwenyekiti chadema