Si Cecil Mwambe wala John Heche wanaotosha uenyekiti CHADEMA Taifa, Uenyekiti una mambo mengi

Hayo mambo ya kuchagua ukanda eti fulani ni wa Kaskazini, mmeanguka kwenye mtego wa CCM huku mkijua kabisa.... matokeo yake ndio mnaleta kina Mashinji ambao hawana impact yoyote kisiasa.

You are doomed.
Kabisa
 
Duh mnyika na selasini hapana kwa maoni yangu.ushauri wangu chadema wamwombe lissu achukue fomu ya uwenyekiti.Nje ya hapo yeyote watakaoona anafaa.hivi kama jpm amekuwa mwenyekiti Wa ccm, itashindikana nini heche na wengine kuwa wenyeviti chadema?
 
Heche ni mtiifu kwa Mbowe atajitoa hawezi kuingia naye kwenye uchaguzi....
 
Mtu anayeifaa CHADEMA ni yule mwenye kujitoa muhanga kukitumikia chama kwa hali zote,awe tayari kuwekwa jela na watawala CCM kwa kesi za kubambikizwa kutoka ofisi ya Lumumba, awe tayari kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na watawala wa CCM, awe tayari kuhujumiwa mali zake na watawala wa CCM, aseme hapana pale ambapo CCM watakapojaribu kumugeuza kuwa bidhaa ya kununuliwa ili akisaliti chama chake,na ikibidi awe tayari kufanyiwa pyuupyuu kwa manufaa ya chama na asiwe tayari kuipigia CCM magoti.
 
Cha msingi awe mchaga au mpare
 
Swala la uenyekiti ni nyeti sana, acha mwenye nia achukue form then kura za wajumbe zitaongea, swala la kusema sijui apumuzike mbona kwenye katiba halipo? Acha wenye nia wachukue form hata idadi ikifika million haina shida.

Kura ndio zitaongea hawa wanaowadiss au kuwatukana watu wanaotangaza nia ya kugombea hawa wapo kila mahala wala msihangaike nao hata huko ccm wapo ambao hawataki kusikia 2020 au katikati ya muhula mtu mwingine anachukua form wanasema Magufuli atosha wakati katiba yao inaruhusu yeyote mwenye sifa za kugombea achukue form kura za wajumbe ndio zitazoamua.
 
Hayo mambo ya kuchagua ukanda eti fulani ni wa Kaskazini, mmeanguka kwenye mtego wa CCM huku mkijua kabisa.... matokeo yake ndio mnaleta kina Mashinji ambao hawana impact yoyote kisiasa.

You are doomed.
Mimi ni mtu wa Mbeya nawachukia sana wanaohangaika na ukanda ni mawazo ya hovyo sana, tuangalie uwezo wa mtu kura za wajumbe ndio zitazoamua.

Umetahadharisha vizuri kuwa wasije wakanasa kwenye propaganda za inzi wa kijani acha watu wachukue form kura za wajumbe zitaongea.
 
mkuu msomi, umenichanganya kidogo......inakuwaje kama huna maslahi ndani ya hiki chama utake Mbowe aondoke kwenye uenyekiti kwa mfano? vipi wenye chama chao wakimhitaji tena, wewe unaona si sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…