De Opera
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 780
- 1,664
Tunatamanije? 😜mwanamke akisema yes pasi na vigezo vya kipuuz huyo ni wife bwan,,vile na nyie hua mnatamani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatamanije? 😜mwanamke akisema yes pasi na vigezo vya kipuuz huyo ni wife bwan,,vile na nyie hua mnatamani tu
Kwa hapa nakubaliana nawe.mwanamke akisema yes pasi na vigezo vya kipuuz huyo ni wife bwana
Upo sahihi mkuu.Na siyo ndiyo zote zinataka ndoa mkuu
hapa unanitega tu,ila najua unajua 😌Tunatamanije? 😜
Mimi sijui lolote kabisa! 😁hapa unanitega tu,ila najua unajua 😌
Are you a virgin boy?😌if yes,allow me to teach you how to desire me😂Mimi sijui lolote kabisa! 😁
Don't be late please, i'm all ears! 👂 🤗Are you a virgin boy?😌if yes,allow me to teach you how to desire me😂
aseeee umekubali kirahisi ivi,,wewe sio virgin 😢ni konkodi,, kwendaaaaaaaDon't be late please, i'm all ears! 👂 🤗
Ooh Not fair! But ni ukweli, ukweli kabisa! My ears are spilled on the porch waiting to hear something. Don't let them itch. 😜aseeee umekubali kirahisi ivi,,wewe sio virgin 😢ni konkodi,, kwendaaaaaaa
utaniharibia usichana wangu🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️Ooh Not fair! But ni ukweli, ukweli kabisa! My ears are spilled on the porch waiting to hear something. Don't let them itch. 😜
Hapana sitakuharibia kama tu ambavyo wewe hutaniharibia uvulana wangu.utaniharibia usichana wangu🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Hahahaha 😂 sidanganyiki ng'ooooHapana sitakuharibia kama tu ambavyo wewe hutaniharibia uvulana wangu.
Ndege wanaofanana huruka pamoja. Njoo turuke pamoja! 😀
Niambie nifanye nini ili uniamini? 😜Hahahaha 😂 sidanganyiki ng'oooo
Nianzishie uzi wangu pekeangu 😌Niambie nifanye nini ili uniamini? 😜
😂 Naomba title tafadhali!Nianzishie uzi wangu pekeangu 😌
🤣🤣🤣🤣Hahahaha 😂 sidanganyiki ng'oooo
Kweli mkuu kama mwanamke anakuhitaji awezi kutamka neno la kumuhudumia.Ndio, kuna wengine ni kweli kabisa wako na hiyo tabia.
Ila ukikutana na limbukeni yupo kwa ajili ya anachokitaka kwanza anaanza kukuforce umuhudumie. Kuna Memes na viclip anakuwa anaweka status vikilenga kukufundisha njinsi ya kumuhudimia.