Si kila mwanamke asemae yes kwako anafaa kuolewa

Si kila mwanamke asemae yes kwako anafaa kuolewa

Wanawake wote ni watu wa fursa (opportunists)

Mwanamke mpaka unamuoa bado anamwazia mwanaume bora kuliko wewe angekuwa mume wake
 
aseeee umekubali kirahisi ivi,,wewe sio virgin 😢ni konkodi,, kwendaaaaaaa
Ooh Not fair! But ni ukweli, ukweli kabisa! My ears are spilled on the porch waiting to hear something. Don't let them itch. 😜
 
Ooh Not fair! But ni ukweli, ukweli kabisa! My ears are spilled on the porch waiting to hear something. Don't let them itch. 😜
utaniharibia usichana wangu🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
 
utaniharibia usichana wangu🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
Hapana sitakuharibia kama tu ambavyo wewe hutaniharibia uvulana wangu.
Ndege wanaofanana huruka pamoja. Njoo turuke pamoja! 😀
 
Ndio, kuna wengine ni kweli kabisa wako na hiyo tabia.

Ila ukikutana na limbukeni yupo kwa ajili ya anachokitaka kwanza anaanza kukuforce umuhudumie. Kuna Memes na viclip anakuwa anaweka status vikilenga kukufundisha njinsi ya kumuhudimia.
Kweli mkuu kama mwanamke anakuhitaji awezi kutamka neno la kumuhudumia.
 
Back
Top Bottom