Si kwa ajili ya ubaguzi, bali namshauri Rais Samia aepuke kufanya maamuzi makubwa ya muda mrefu yanayohusu upande wa Tanzania bara peke yake

Yote maisha tu
 

Naam mkuu

Kupitia hili tunaweza kupata genius wa mambo yote muhimu katika Taifa.

Ikumbukwe pia kiongozi mamlaka ya juu kabisa {Rais} akiwa na upeo mdg na mawazo finyu (kuishi leo tu) kama haya si ajabu hata watendaji wake kuwa na utendaji m'bovu hata walotimamu kufifia katika utendaji wao.


N.B Siasa inatuletea viongozi wabovu sana kiakili na kulitia aibu Taifa nyanja nyingi sana.
 
Kweli kabisa, na hili litawezekana pale tu vyama vya siasa vitaweka maslahi ya nchi mbele ya maslahi ya vyama vyao au mtu mmoja mmoja binafsi
 
Sasa kuna haja gani yakuwa raisi wa JMT kama asifanye maamuzi ?

hakuna maamuzi aliyofanya Samia ambayo hayakuwa na baraka ya watanganyika ndani, tuache kumsukumia mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…