Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hamna ile ya die, ambayo Yuko peke ake ni π₯π₯π₯Sema lyrics zake kama ni zile zile, angemuajiri mtu wa kumuandikia kimalkia zaidi
A go love ma bebe, yo go love my banana "Some day i used to call my mama" ππ
Ni kweli, na kinachomlinda alikiba nyimbo zake hazina matusi matusiKitu nnachokiona ni hicho mtu ambae hafi kimziki ni Alikiba pekee
Harmonize angetumia muda huu kukusanya mtaji afanye miradi mingine mikubwa nje ya Sanaa mana hakuna atakayemvumilia zaidi ya miaka 7 ajayo na ujinga wake. Mziki unabdilika sana aseeUshamba mwingi+sifa vinampoteza. Soon atabaki tu kwenye vitabu kwamba msanii maarufu,kama akina Juma Nature
Tatizo alilonalo kondeboy ni elimu ndogo na management mbovu ,kama alivyosema kila dereva bajaji akimkuta amebandika picha yake yeye na bff wake mobeto anampa laki 5 so masuala ya kuwafanya watu watoto ππlaki 5 anazipata wapi wakati ata pesa ya kuwaboost wakina Ibrah Hana,yeye alionao iyo ndo strategy ya kuwadanganya watu WA promote BURE si akili ndogo iyoSijawahi kuwa fan wake Ila sidhani kama kaflop kama mnavyosema maana kuna nyimbo kama wote na single again ni mega hit kwa level za Tanzania.
Sema jamaa apunguze mbwembwe za kutaka kuongelewa kila siku pasipo sababu za msingi lakini pia ku-fake hiyo bad boy personality kwa cheap American accent
Na anapoelekea ataanza kula cocaine maana akilewa tu anaanza kusumbua insta na kuandika vitu visivyo eleweka,all in all anapitia nyakati ngumu sana za kuforce watu wamzungumzie kila wakati na kuforce watu wamshabikie pasipo kitu cha maana,mara atafute kick Kwa mobeto ,mobeto mwenyewe kastukia anamkwepa ,mjinga amegundua kick za mahusiano ndo uwa zinambeba sa hivi mtashangaa kadaka demu WA bongo tenaHarmonize angetumia muda huu kukusanya mtaji afanye miradi mingine mikubwa nje ya Sanaa mana hakuna atakayemvumilia zaidi ya miaka 7 ajayo na ujinga wake. Mziki unabdilika sana asee
Single Again ni ngoma ya teenage ππSema lyrics zake kama ni zile zile, angemuajiri mtu wa kumuandikia kimalkia zaidi
A go love ma bebe, yo go love my banana "Some day i used to call my mama" ππ
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ukweli huo kaka,[emoji12]
Na age mate wa harmo kama mimi πππSi
Single Again ni ngoma ya teenage ππ
Watu wanamkimbia kwenye show. Kondegang ndo hivyo imekufa plus kiki zake ndo hivyo hazihit. Hali ikiendelea hivi basi hatutomsikia tena Harmonize.[emoji848][emoji2827]Nyimbo anazotoa hazina mvuto tena na hazishiki number one kwenye platform yoyote mpaka boomplay ambayo inaonewa mpaka na maunderground kwa kushika number one trending.
Watu wanamkimbia kwenye show. Kondegang ndo hivyo imekufa plus kiki zake ndo hivyo hazihit. Hali ikiendelea hivi basi hatutomsikia tena Harmonize.
Anaangushwa na Management isiyo na maonoHarmonize ana kipaji kikubwa sana, ila ni kama ana wenge na hayuko strategic!
Hii trend yake anayoenda nayo hata mimi siielewi!
Hapotei kwenye muziki wa bongo ila kimuziki ki Africa alishapotea muda mrefu sana yaani kuwa International artistKitu nnachokiona ni hicho mtu ambae hafi kimziki ni Alikiba pekee
Viewers wengi maana yake wimbo umependwa na wengi pia youtube wanawalipa kwa idadi ya viewers. Ni mafanikio kwao.Nje ya topic kidogo. Huwa sielewi mtu akisema on trending. Huko YouTube au boomplay sijui. Hivi msanii akitoa Ngoma halafu raia wakaenda kuangalia au kuisikia let's say watu 2m just kuangalia video au kuisikiliza kwa kuwa wamesikia msanii x ametoa ngoma.
Je hiyo 2m views ndo kupendwa hadi watu wanasema ngoma inatrend sana au naomba kueleweshwa.
Maana hata mm huwa mara chache naweza kuta wimbo au video mtandaoni nikaamua kuangalia Tu hii haimaanishi nmeipenda.
Ila harmo ana boost sana views, miaka ya karibuni Zuchu anapiga sana pesa kwenye digital platforms kuliko harmonize. Single again imembeba sana juzi pasipo hiyo hali ingekuwa ngumu.Viewers wengi maana yake wimbo umependwa na wengi pia youtube wanawalipa kwa idadi ya viewers. Ni mafanikio kwao.
"Bila Dai yule dogo nina uhakika asingejulikana kokote. Bila Dai asingekuwa na maisha aliyonayo sasa"Harmonize ana kipaji kikubwa sana. Mimi ni mmojawapo namkubali sana pia. Tatizo hana management nzuri. Anataka kila kitu afanye yeye.
Watu wengi hamuelewi Daimond kwa nini ana mameneja wengi na anawalipa pesa kibao. Japo hao mameneja yeye anawaongoza cha kufanya,lakini nao wanamuongoza nini afanye kipi aachane nacho. Wale mameneja wa Dai kila mmoja ana kazi yake.
Tatizo lingine kubwa la Harmonize ni kuendelea kufuata upepo wa Dai. Kupambana na Dai ni kujipoteza. Yeye alivyoamua kujichomoa Wasafi. Ilitakiwa awe amejipanga kufanya kazi kwa juhudi bila kugeuka upande wa pili. Ilitakiwa afanye kazi zake kulingana na alivyojipanga tu si vinginevyo.
Mwisho ushauri wangu kwake ni ule ule wa siku zote. Japo utakuwa umechelewa,lakini hakuna namna. Ache kumshambulia Daimond kabisa. Ilipaswa kila anapomuongelea Diamond amuongelee vizuri sana Daimond. Kumuongelea vizuri Dai sio kujishusha ,bali angejiongezea nguvu sana. Angejiongezea pia mashabiki wengine wa upande wa pili wangeendelea kumsapot. Pia ni ishara ya kurudisha fadhira.
Pia ingempunguzia sana maadui wa kupambana nao,badala yake ange-focus kwenye kazi tu. Bila Dai yule dogo nina uhakika asingejulikana kokote. Bila Dai asingekuwa na maisha aliyonayo sasa.
Japo hayo ilitakiwa ayafanye kitambo.
"Bila Dai yule dogo nina uhakika asingejulikana kokote. Bila Dai asingekuwa na maisha aliyonayo sasa"
Naona hapo juu unajipa nafasi ya Uungu sasa, Kwa kusema bila Dai una UHAKIKA asingejulikana popote
Vipi kuhusu Marioo bila nani asingefika hapo alipo, je vipi Jay melody? Kwahiyo sidhani kama uko sahihi kusema hivo, kwa sababu ana kipaji angefika tu japo kwa njia ingine kama wasanii wengine
Cha Kwanza ni kipaji tu, ata Diamond aliwekeza kwa sababu anaamini katika kipaji cha Harmonize na akaona hii ni hela hapo mbeleni ndomana akawekeza hela zake
Ukiwa na kipaji,nidhamu na kujituma mafanikio ni swala la muda Tu, ila utapitia njia gani kufikia mafaniko yako ndio huwezi kujua, kwahiyo Diamond ametumika kama Daraja Tu Ku unlock kipaji cha Harmonize
Ndomana huyo huyo Diamond kashindwa kumsaidia dada yake queen Dareen ili nayeye awe msanii mkubwa kama zuchu, jibu ni simple tu kwa sababu Hana kipaji ambacho kina Harmonize,Rayvany,Mboso,zuchu,D-voice wanavyo