Si kwamba wanaojiua kutokana na matatizo ama changamoto za kimaisha hawawashirikishi watu

Si kwamba wanaojiua kutokana na matatizo ama changamoto za kimaisha hawawashirikishi watu

Ndio watanzania walivyo hasa kina mama,

Wamama wengi wa kitanzania unapo msimulia tatizo lako hukimbilia kusema nilikwambia, ungenisikiliza ingekuwa hivi mara hivi,

Achana na hapo mtanzania mara nyingi akikutana na mwezake mada zao mara nyingi ni matatizo ya wezao, na shida za wezao hiyo haijengi.

Wamama wa kibongo badilikeni
😂😂😄 nawanakuwekea mkeka kabisa wakususute
 
Kuna jamaa alikuwa anawacheka sana watu wanaopigiwa wachumba zao na wake zao kitu kama bandarini sikumbuki.
ila jamaa akaja naye kuoa akapigiwa.kilichofata kujiua maana aibu itawekwa wapi
Wanasema usitukane mamba wakati hujavuka mto ati
au kama ni ndoa wanakwambia vumilia ndoa ndo zilivyo
😂😂hakuna ndoa iliyotulia yaani🤪
 
Mimi binafsi zijawahi kuogopa sijui nikifa nitazikwa Nan Nani ,huu naonaga ni ujinga na upumbavu ,ukisha kufaa umekufa uzikwe kama mfalume au uzikwe na manispaaa yote ni kwenda chini tu .....

So ,sinaaga mambo ya kunyenyekea watu ambao naona hawana msaada na Mimi ,sijui kuishi vzuri na watu ....chanzo cha matatizo yote hapa duniani chanzo ni binadamu wenyewe ,maneno ,majungu ,kusemana ,roho mbaya ,.....kiufupi binadamu wengi wanapenda kuona binadamu mwenzio anamatatizo ,ni nature kabisa ....
Absolutely,
 
Kuna changamoto kwenye maisha kama sio Mungu tusingekua tuna reply nyuzi izi

So many times nimetaka kufa na kujiua but God kept me

Kuna muda izo formula zinagoma lakini Mungu aiseee ametuvusha.
Mungu ana Maguvu sana ndugu,ndiye mwenye maamuzi ya mwisho
 
Mkuu sijui nikushuru vipi.. ila ahsante sana kwa ujumbe huu.. vijana tunahtaji sana jumbe kama hizi, make nyakat ngumu zinakuja na zpo. sio kwamba nakuwa pessimistic ila ndo uhalisia.. honestly nyuzi kama huu ndo vilinifanya nijiunge hapa... VP HAKUNA SEHEMU YA KUKUPIGIA KURA..
 
Back
Top Bottom