TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
- Thread starter
-
- #21
😂😂😄 nawanakuwekea mkeka kabisa wakususuteNdio watanzania walivyo hasa kina mama,
Wamama wengi wa kitanzania unapo msimulia tatizo lako hukimbilia kusema nilikwambia, ungenisikiliza ingekuwa hivi mara hivi,
Achana na hapo mtanzania mara nyingi akikutana na mwezake mada zao mara nyingi ni matatizo ya wezao, na shida za wezao hiyo haijengi.
Wamama wa kibongo badilikeni
Aise pole, sana nduguNa namshukuru Mungu kwa hivi nilivyo. Kama nilipoteza ardhi heka kumi na mbili Kigamboni, nikataka kudhulumiwa nyumba Salasala na sikufikiria hata kujidhuru, nini kingine kigeni? Mungu aliyenivusha atanivusha tena
Yaani unaweza kusema wamekuchawia 😂Kila mtu huwa na mipango mzuri tu anapoamua kitu iwe kukopa au vp kutokana uelewa wake. Ila kuna mambo huibuka mpaka unashangaa
Shida ni kwa kila mtu nduguDaa! Kumbe ni kwa kila mtu
Wanasema usitukane mamba wakati hujavuka mto atiKuna jamaa alikuwa anawacheka sana watu wanaopigiwa wachumba zao na wake zao kitu kama bandarini sikumbuki.
ila jamaa akaja naye kuoa akapigiwa.kilichofata kujiua maana aibu itawekwa wapi
😂😂hakuna ndoa iliyotulia yaani🤪au kama ni ndoa wanakwambia vumilia ndoa ndo zilivyo
KabisaMimi pia mkuu,natazama naishije nitaishije...basss....watu hawaaminiki wala hawana utu.Tujifunze kusimama wenyewe
Absolutely,Mimi binafsi zijawahi kuogopa sijui nikifa nitazikwa Nan Nani ,huu naonaga ni ujinga na upumbavu ,ukisha kufaa umekufa uzikwe kama mfalume au uzikwe na manispaaa yote ni kwenda chini tu .....
So ,sinaaga mambo ya kunyenyekea watu ambao naona hawana msaada na Mimi ,sijui kuishi vzuri na watu ....chanzo cha matatizo yote hapa duniani chanzo ni binadamu wenyewe ,maneno ,majungu ,kusemana ,roho mbaya ,.....kiufupi binadamu wengi wanapenda kuona binadamu mwenzio anamatatizo ,ni nature kabisa ....
Mungu ana Maguvu sana ndugu,ndiye mwenye maamuzi ya mwishoKuna changamoto kwenye maisha kama sio Mungu tusingekua tuna reply nyuzi izi
So many times nimetaka kufa na kujiua but God kept me
Kuna muda izo formula zinagoma lakini Mungu aiseee ametuvusha.