Big minds ignore tabula rasaKama ilivyo ya ' Mamaako ' pia.
Umesema kweli Simba wajanja wajanja wengi,wapigaji tupu ,tuombe washinde la sivyo ht kagame watayumbaManji akiibuka anaye huyu. Tatizo la simba wajanjawajanja wako
wengi. Sisi kule mjanja wetu ni mzee Akilimali, akishushiwa gunia la viazi anatulia.
hawa simba ni balaa, wapigaji wao, mamende wao, wanunuzi wa mechi nao wamo, mwe!Umesema kweli Simba wajanja wajanja wengi,wapigaji tupu ,tuombe washinde la sivyo ht kagame watayumba
Jitafakari mkuu unakoelekea sikoKama ilivyo ya ' Mamaako ' pia.
Mleta Mada huwa ananifurahishaga sana,hapendi kbs kulea lea kitu ,safi sana
Big minds ignore tabula rasa
Kwa aina ya mipango ambayo Simba wanaitaka Masoud hawezi kuwafikisha popote,hata wakishinda hii game wasiridhikeNi kweli Mkuu na hivyo ndivyo nilivyo na sitobadilika. Simba SC tumefanya Kosa kubwa sana kama siyo mno kuachana na Kocha Mfaransa Pierre Lechantre kwa sababu za ' Kipumbavu / Hovyo Hovyo ' kabisa ambazo kwa Mtu ' very professional ' wa masuala ya mpira akiyasikia atastaajabu na kuushangaa Uongozi wa Simba SC.
Na ili muone kwamba ' impact ' ya Mzungu kutokuwepo tayari imeanza kuonekana angalieni jinsi Wachezaji wa Simba SC wanavyoonyesha ' nidhamu ' mbovu sana Uwanjani hali ambayo ulikuwa huwezi kuiona wakati Kocha Lechantre alipokuwa katika Benchi kwani Yeye alikuwa ni ' Non Nonsense Coach ' na Kwake ' nidhamu ' kwa Wachezaji wake ndiyo ilikuwa Kipaumbele chake.
Na Wachezaji wa Simba SC leo wanaonyesha ' nidhamu ' mbovu kwakuwa wanajua Kocha ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ni mwenzao, anawaogopa baadhi ya Wachezaji ' Waandamizi ' na wengi wao hula nae ' bata ' sana mitaani hivyo wanammudu vilivyo na Yeye hawezi kuwafanya lolote.
Nautizama mpira ' Kiufundi ' na siyo ' Kipuuzi ' kama wale Team Masoud Djuma Irambona walivyo na wanavyouona huu mpira. Kocha ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona kuwa Kocha wa Timu kubwa kama ya Simba SC ni ' Kututukana ' Sisi ambao pengine tunaujua mpira wa ' Kisayansi ' zaidi kuliko hata Yeye.
Na ni huyu huyu ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ndiyo alimpikia ' Majungu ' Beki Mganda Juuko Murshid kwa Uongozi wa Simba SC ili aonekane mtovu wa nidhamu na asiwe anapangwa kisa tu Yeye ( Kocha Masoud ) ana urafiki mkubwa sana na Kiungo Jonas Mkude ambaye nae ana urafiki wa karibu sana na Mshkaji wake wa ' Kindakindaki ' Beki Yusuph Mlipili na kumpendelea kumpanga mara kwa mara na kumpuuza Beki Juuko Murshid ambaye hadi hivi sasa katika Timu ya Simba SC bado sijaona Beki wa kumweka Benchi Juuko ambaye panga pangua anapata namba katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Uganda ( The Cranes ) ambayo hata katika Viwango tu vya FIFA Uganda wametuacha Tanzania mbali sana.
Tufungwe tu leo na Gor Mahia mpaka tuheshimiane kudadadeki!!!!!!!
Hii game ya leo technically inawabeba Gor marhia..
Kwa aina ya mipango ambayo Simba wanaitaka Masoud hawezi kuwafikisha popote,hata wakishinda hii game wasiridhike
Mo afanye maamuzi magumu
Nakubaliana na sababu zako juu ya huyo kocha,ingawa wapo watakao kupinga
Watu wanaokimbilia kutukana sana huwa wana Matatizo ya kifamilia..sikushangai mkuu.. Endelea kutumia matusi kama defense mechanismHalafu huwa siyo tabula rasa ni tabularaza ' Mpuuzi ' mkubwa Wewe. Ndiyo maana nakujibu hovyo kwani nimeshakusoma zamani sana Kichwani mwako kumejaa maji yale yanayopatikana sana katika yale ' Madimbwi ' saba ( 7 ) pale Mabibo.
the real definiton of shabiki maandaziMalipo ya Mnafiki huwa ni hapa hapa duniani. Yule yule ambaye amekuwa akimpiga Majungu Kocha Pierre Lechantre afukuzwe kisha Timu apewe Yeye Masoud Djuma Irambona sasa ' laana ' ya Mzungu inaanza kumpata huko AFRAHA Stadium Nakuru.
Si mlikuwa mnajifanya Kocha Mzungu Lechantre hana umuhimu na Timu haichezi vizuri na inashinda tu ushindi wa ' Kiduchu ' sasa tayari Vijana wa ' Kogelo ' wameshatuweka ' Kidude ' na kuna kila dalili kwamba leo tutachezea mengi tu.
Nami naomba tufungwe tu ili sasa tuone Masoud Djuma Irambona atafanyeje kwani ni Kocha ' Mnafiki ' sana na mpika ' Majungu ' ndani ya Kikosi japo wapuuzi wenzake ambao ni Mashabiki wa Simba SC baadhi yao hawana wanalolijua.
Leo wala sifichi nataka ' tufungwe ' na Gor Mahia ' Wana Kogelo ' ili tuheshimiane hapa mjini japo Mimi ni mwana Simba SC ' Kindakindaki ' ila kwa nilivyochukizwa na kufukuzwa kwa Kocha ' Fundi ' kabisa Mfaransa Pierre Lechantre wakati sijaona tatizo lake na angebaki angetusaidia mno Simba SC.
Tufungwe tu potelea mbali!!!!!!!!
Nawasilisha.
Mpaka sasa umeshachapwa cha "pili" na bado muda upo wa kupigwa cha tatu na cha nne!Tufungwe tu potelea mbali!!!!!!!!
Mkuu namalizia kumsikiliza Didier Lacoste na kibao chake "Kingongolo" nirudi kwenye uzi wako mmmmmmhhh hizi wine huenda zimeingilia nerves za fahamu[emoji6]Malipo ya Mnafiki huwa ni hapa hapa duniani. Yule yule ambaye amekuwa akimpiga Majungu Kocha Pierre Lechantre afukuzwe kisha Timu apewe Yeye Masoud Djuma Irambona sasa ' laana ' ya Mzungu inaanza kumpata huko AFRAHA Stadium Nakuru.
Si mlikuwa mnajifanya Kocha Mzungu Lechantre hana umuhimu na Timu haichezi vizuri na inashinda tu ushindi wa ' Kiduchu ' sasa tayari Vijana wa ' Kogelo ' wameshatuweka ' Kidude ' na kuna kila dalili kwamba leo tutachezea mengi tu.
Nami naomba tufungwe tu ili sasa tuone Masoud Djuma Irambona atafanyeje kwani ni Kocha ' Mnafiki ' sana na mpika ' Majungu ' ndani ya Kikosi japo wapuuzi wenzake ambao ni Mashabiki wa Simba SC baadhi yao hawana wanalolijua.
Leo wala sifichi nataka ' tufungwe ' na Gor Mahia ' Wana Kogelo ' ili tuheshimiane hapa mjini japo Mimi ni mwana Simba SC ' Kindakindaki ' ila kwa nilivyochukizwa na kufukuzwa kwa Kocha ' Fundi ' kabisa Mfaransa Pierre Lechantre wakati sijaona tatizo lake na angebaki angetusaidia mno Simba SC.
Tufungwe tu potelea mbali!!!!!!!!
Nawasilisha.
Kogelo 2 Nyau 0Tupe update
Leo unawakataa wanyama wako siyo?BlackberryyyyyyTumeshafungwa ' Kimoko / Moja ' na Mimi naombe tufungwe hata goli 13 leo ili tukome na tuache ' Upuuzi ' wa kuwa ' Unprofessional '. Na mpaka sasa naziona Goli nyingi tu leo. Si mmejifanya ' Kumdhihaki ' Mzungu Lechantre huku mkisema hana Kitu na Timu akabidhiwe ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ambaye wala sifichi simkubali na hana uwezo wa Kuifundisha Simba SC na kuipa mafanikio kivile!
Tufungwe tu leo!!!!!!!
Watu wanaokimbilia kutukana sana huwa wana Matatizo ya kifamilia..sikushangai mkuu.. Endelea kutumia matusi kama defense mechanism
Tayari tushapigwa la pili