Si mmejifanya kumfukuza Pierre Lechantre kwa Majungu sasa Masoud Djuma laana inamuanzia huko Nakuru

Si mmejifanya kumfukuza Pierre Lechantre kwa Majungu sasa Masoud Djuma laana inamuanzia huko Nakuru

Manji akiibuka anaye huyu. Tatizo la simba wajanjawajanja wako
wengi. Sisi kule mjanja wetu ni mzee Akilimali, akishushiwa gunia la viazi anatulia.
Umesema kweli Simba wajanja wajanja wengi,wapigaji tupu ,tuombe washinde la sivyo ht kagame watayumba
 
Mleta Mada huwa ananifurahishaga sana,hapendi kbs kulea lea kitu ,safi sana

Ni kweli Mkuu na hivyo ndivyo nilivyo na sitobadilika. Simba SC tumefanya Kosa kubwa sana kama siyo mno kuachana na Kocha Mfaransa Pierre Lechantre kwa sababu za ' Kipumbavu / Hovyo Hovyo ' kabisa ambazo kwa Mtu ' very professional ' wa masuala ya mpira akiyasikia atastaajabu na kuushangaa Uongozi wa Simba SC.

Na ili muone kwamba ' impact ' ya Mzungu kutokuwepo tayari imeanza kuonekana angalieni jinsi Wachezaji wa Simba SC wanavyoonyesha ' nidhamu ' mbovu sana Uwanjani hali ambayo ulikuwa huwezi kuiona wakati Kocha Lechantre alipokuwa katika Benchi kwani Yeye alikuwa ni ' Non Nonsense Coach ' na Kwake ' nidhamu ' kwa Wachezaji wake ndiyo ilikuwa Kipaumbele chake.

Na Wachezaji wa Simba SC leo wanaonyesha ' nidhamu ' mbovu kwakuwa wanajua Kocha ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ni mwenzao, anawaogopa baadhi ya Wachezaji ' Waandamizi ' na wengi wao hula nae ' bata ' sana mitaani hivyo wanammudu vilivyo na Yeye hawezi kuwafanya lolote.

Nautizama mpira ' Kiufundi ' na siyo ' Kipuuzi ' kama wale Team Masoud Djuma Irambona walivyo na wanavyouona huu mpira. Kocha ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona kuwa Kocha wa Timu kubwa kama ya Simba SC ni ' Kututukana ' Sisi ambao pengine tunaujua mpira wa ' Kisayansi ' zaidi kuliko hata Yeye.

Na ni huyu huyu ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ndiyo alimpikia ' Majungu ' Beki Mganda Juuko Murshid kwa Uongozi wa Simba SC ili aonekane mtovu wa nidhamu na asiwe anapangwa kisa tu Yeye ( Kocha Masoud ) ana urafiki mkubwa sana na Kiungo Jonas Mkude ambaye nae ana urafiki wa karibu sana na Mshkaji wake wa ' Kindakindaki ' Beki Yusuph Mlipili na kumpendelea kumpanga mara kwa mara na kumpuuza Beki Juuko Murshid ambaye hadi hivi sasa katika Timu ya Simba SC bado sijaona Beki wa kumweka Benchi Juuko ambaye panga pangua anapata namba katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Uganda ( The Cranes ) ambayo hata katika Viwango tu vya FIFA Uganda wametuacha Tanzania mbali sana.

Tufungwe tu leo na Gor Mahia mpaka tuheshimiane kudadadeki!!!!!!!
 
Big minds ignore tabula rasa

Halafu huwa siyo tabula rasa ni tabularaza ' Mpuuzi ' mkubwa Wewe. Ndiyo maana nakujibu hovyo kwani nimeshakusoma zamani sana Kichwani mwako kumejaa maji yale yanayopatikana sana katika yale ' Madimbwi ' saba ( 7 ) pale Mabibo.
 
Ni kweli Mkuu na hivyo ndivyo nilivyo na sitobadilika. Simba SC tumefanya Kosa kubwa sana kama siyo mno kuachana na Kocha Mfaransa Pierre Lechantre kwa sababu za ' Kipumbavu / Hovyo Hovyo ' kabisa ambazo kwa Mtu ' very professional ' wa masuala ya mpira akiyasikia atastaajabu na kuushangaa Uongozi wa Simba SC.

Na ili muone kwamba ' impact ' ya Mzungu kutokuwepo tayari imeanza kuonekana angalieni jinsi Wachezaji wa Simba SC wanavyoonyesha ' nidhamu ' mbovu sana Uwanjani hali ambayo ulikuwa huwezi kuiona wakati Kocha Lechantre alipokuwa katika Benchi kwani Yeye alikuwa ni ' Non Nonsense Coach ' na Kwake ' nidhamu ' kwa Wachezaji wake ndiyo ilikuwa Kipaumbele chake.

Na Wachezaji wa Simba SC leo wanaonyesha ' nidhamu ' mbovu kwakuwa wanajua Kocha ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ni mwenzao, anawaogopa baadhi ya Wachezaji ' Waandamizi ' na wengi wao hula nae ' bata ' sana mitaani hivyo wanammudu vilivyo na Yeye hawezi kuwafanya lolote.

Nautizama mpira ' Kiufundi ' na siyo ' Kipuuzi ' kama wale Team Masoud Djuma Irambona walivyo na wanavyouona huu mpira. Kocha ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona kuwa Kocha wa Timu kubwa kama ya Simba SC ni ' Kututukana ' Sisi ambao pengine tunaujua mpira wa ' Kisayansi ' zaidi kuliko hata Yeye.

Na ni huyu huyu ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ndiyo alimpikia ' Majungu ' Beki Mganda Juuko Murshid kwa Uongozi wa Simba SC ili aonekane mtovu wa nidhamu na asiwe anapangwa kisa tu Yeye ( Kocha Masoud ) ana urafiki mkubwa sana na Kiungo Jonas Mkude ambaye nae ana urafiki wa karibu sana na Mshkaji wake wa ' Kindakindaki ' Beki Yusuph Mlipili na kumpendelea kumpanga mara kwa mara na kumpuuza Beki Juuko Murshid ambaye hadi hivi sasa katika Timu ya Simba SC bado sijaona Beki wa kumweka Benchi Juuko ambaye panga pangua anapata namba katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Uganda ( The Cranes ) ambayo hata katika Viwango tu vya FIFA Uganda wametuacha Tanzania mbali sana.

Tufungwe tu leo na Gor Mahia mpaka tuheshimiane kudadadeki!!!!!!!
Kwa aina ya mipango ambayo Simba wanaitaka Masoud hawezi kuwafikisha popote,hata wakishinda hii game wasiridhike

Mo afanye maamuzi magumu
Nakubaliana na sababu zako juu ya huyo kocha,ingawa wapo watakao kupinga
 
Hii game ya leo technically inawabeba Gor marhia..

Hivi kabisa Watu wa Simba SC mlijua kwa Kocha huyu ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona Simba SC itaifunga Gor Mahia? Thubutu!

Hawa Gor Mahia nao wananiudhi na kunikera sana mbona hawatufungi magoli mengine? Nataka tufungwe kama goli 13 au 15 ili tuone sasa Mzungu Lechantre na Masoud Djuma nani ' Mwanamume ' na ' Fundi ' Kudadadeki.

Tufungwe tu leo hakuna namna!!!!!!!
 
Kwa aina ya mipango ambayo Simba wanaitaka Masoud hawezi kuwafikisha popote,hata wakishinda hii game wasiridhike

Mo afanye maamuzi magumu
Nakubaliana na sababu zako juu ya huyo kocha,ingawa wapo watakao kupinga

Anayejua mpira kama Wewe hawezi wala hawezi kunipinga ila wale ' Wapuuzi ' Team Masoud Djuma Irambona ndiyo watanipinga kwani hawajui mpira.

Asante Mungu Simba SC tumefungwa goli la pili muda si mrefu uliopita. Laana ya Kocha Pierre Lechantre inazidi kutuingia tu wana Simba SC.

Na bado!!!!!!!!
 
Halafu huwa siyo tabula rasa ni tabularaza ' Mpuuzi ' mkubwa Wewe. Ndiyo maana nakujibu hovyo kwani nimeshakusoma zamani sana Kichwani mwako kumejaa maji yale yanayopatikana sana katika yale ' Madimbwi ' saba ( 7 ) pale Mabibo.
Watu wanaokimbilia kutukana sana huwa wana Matatizo ya kifamilia..sikushangai mkuu.. Endelea kutumia matusi kama defense mechanism
 
Malipo ya Mnafiki huwa ni hapa hapa duniani. Yule yule ambaye amekuwa akimpiga Majungu Kocha Pierre Lechantre afukuzwe kisha Timu apewe Yeye Masoud Djuma Irambona sasa ' laana ' ya Mzungu inaanza kumpata huko AFRAHA Stadium Nakuru.

Si mlikuwa mnajifanya Kocha Mzungu Lechantre hana umuhimu na Timu haichezi vizuri na inashinda tu ushindi wa ' Kiduchu ' sasa tayari Vijana wa ' Kogelo ' wameshatuweka ' Kidude ' na kuna kila dalili kwamba leo tutachezea mengi tu.

Nami naomba tufungwe tu ili sasa tuone Masoud Djuma Irambona atafanyeje kwani ni Kocha ' Mnafiki ' sana na mpika ' Majungu ' ndani ya Kikosi japo wapuuzi wenzake ambao ni Mashabiki wa Simba SC baadhi yao hawana wanalolijua.

Leo wala sifichi nataka ' tufungwe ' na Gor Mahia ' Wana Kogelo ' ili tuheshimiane hapa mjini japo Mimi ni mwana Simba SC ' Kindakindaki ' ila kwa nilivyochukizwa na kufukuzwa kwa Kocha ' Fundi ' kabisa Mfaransa Pierre Lechantre wakati sijaona tatizo lake na angebaki angetusaidia mno Simba SC.

Tufungwe tu potelea mbali!!!!!!!!

Nawasilisha.
the real definiton of shabiki maandazi
 
Malipo ya Mnafiki huwa ni hapa hapa duniani. Yule yule ambaye amekuwa akimpiga Majungu Kocha Pierre Lechantre afukuzwe kisha Timu apewe Yeye Masoud Djuma Irambona sasa ' laana ' ya Mzungu inaanza kumpata huko AFRAHA Stadium Nakuru.

Si mlikuwa mnajifanya Kocha Mzungu Lechantre hana umuhimu na Timu haichezi vizuri na inashinda tu ushindi wa ' Kiduchu ' sasa tayari Vijana wa ' Kogelo ' wameshatuweka ' Kidude ' na kuna kila dalili kwamba leo tutachezea mengi tu.

Nami naomba tufungwe tu ili sasa tuone Masoud Djuma Irambona atafanyeje kwani ni Kocha ' Mnafiki ' sana na mpika ' Majungu ' ndani ya Kikosi japo wapuuzi wenzake ambao ni Mashabiki wa Simba SC baadhi yao hawana wanalolijua.

Leo wala sifichi nataka ' tufungwe ' na Gor Mahia ' Wana Kogelo ' ili tuheshimiane hapa mjini japo Mimi ni mwana Simba SC ' Kindakindaki ' ila kwa nilivyochukizwa na kufukuzwa kwa Kocha ' Fundi ' kabisa Mfaransa Pierre Lechantre wakati sijaona tatizo lake na angebaki angetusaidia mno Simba SC.

Tufungwe tu potelea mbali!!!!!!!!

Nawasilisha.
Mkuu namalizia kumsikiliza Didier Lacoste na kibao chake "Kingongolo" nirudi kwenye uzi wako mmmmmmhhh hizi wine huenda zimeingilia nerves za fahamu[emoji6]
 
Tumeshafungwa ' Kimoko / Moja ' na Mimi naombe tufungwe hata goli 13 leo ili tukome na tuache ' Upuuzi ' wa kuwa ' Unprofessional '. Na mpaka sasa naziona Goli nyingi tu leo. Si mmejifanya ' Kumdhihaki ' Mzungu Lechantre huku mkisema hana Kitu na Timu akabidhiwe ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona ambaye wala sifichi simkubali na hana uwezo wa Kuifundisha Simba SC na kuipa mafanikio kivile!

Tufungwe tu leo!!!!!!!
Leo unawakataa wanyama wako siyo?Blackberryyyyyy
 
Watu wanaokimbilia kutukana sana huwa wana Matatizo ya kifamilia..sikushangai mkuu.. Endelea kutumia matusi kama defense mechanism

Mbona safari hii umeandika kwa nidhamu sana? Hopeless Wewe ulitaka unizoee hovyo na umekuja Kwangu Kichwa Kichwa na umevuna ulichokipanda.
 
Back
Top Bottom