GENTAMYCINE wewe ni mchawi katika soka nimekuvulia kofia,huweki ushabiki mbele ila unachambua na kutafakari kila hatua inayopitia timu. wewe ni zaidi ya katibu mkuu wa simba.Nashukuru kwa kunielewa Mkuu. Na nilionya hadi nikaanzisha ' Uzi ' hapa hapa JF wa kumtaka Mo Dewji asiingie ' mkenge ' na kuwasajili akina Adam Salamba wa Lipuli FC na Marcel Kaheza wa Maji Maji kwakuwa nilishaona uwezo wao ni mdogo na kwa Simba SC Wachezaji hao hawatufai bado kuna ' Wapuuzi ' na ' Wajinga ' fulani wachache hawakunielewa ila nadhani sasa kwa aina ya Viwango vyao walivyovionyesha huko Nakuru nchini Kenya ndipo watajua kwamba GENTAMYCINE nina ' jicho ' kali na la ' Kiufundi ' zaidi na huwa sikosei na sijawahi kukosea kwa kile ninachokiamini.
Mpira umemalizika na tumefungwa goli 2 kwa 0. Safi sana na bakini na huyo ' Mnafiki ' wenu Kocha Masoud Djuma Irambona. Namkumbuka sana Kocha wangu Pierre Lechantre niliyemkubali na niliyemwona ndiye angetukomboa Simba SC hasa Kimataifa na kushindana na akina TP Mazembe, Al Ahly, Mamelodi Sundown na akina Enyimba.
Kipigo hiki kiwe ' Fundisho ' Kwetu Simba SC na tuache ' Professionalism ' ifanya Kazi yake huku tukiacha ' Uswahili ' wetu.
Mkuu kwanini tusimchukue yule kijana Elias Maguli?Nashukuru kwa kunielewa Mkuu. Na nilionya hadi nikaanzisha ' Uzi ' hapa hapa JF wa kumtaka Mo Dewji asiingie ' mkenge ' na kuwasajili akina Adam Salamba wa Lipuli FC na Marcel Kaheza wa Maji Maji kwakuwa nilishaona uwezo wao ni mdogo na kwa Simba SC Wachezaji hao hawatufai bado kuna ' Wapuuzi ' na ' Wajinga ' fulani wachache hawakunielewa ila nadhani sasa kwa aina ya Viwango vyao walivyovionyesha huko Nakuru nchini Kenya ndipo watajua kwamba GENTAMYCINE nina ' jicho ' kali na la ' Kiufundi ' zaidi na huwa sikosei na sijawahi kukosea kwa kile ninachokiamini.
Mpira umemalizika na tumefungwa goli 2 kwa 0. Safi sana na bakini na huyo ' Mnafiki ' wenu Kocha Masoud Djuma Irambona. Namkumbuka sana Kocha wangu Pierre Lechantre niliyemkubali na niliyemwona ndiye angetukomboa Simba SC hasa Kimataifa na kushindana na akina TP Mazembe, Al Ahly, Mamelodi Sundown na akina Enyimba.
Kipigo hiki kiwe ' Fundisho ' Kwetu Simba SC na tuache ' Professionalism ' ifanya Kazi yake huku tukiacha ' Uswahili ' wetu.
Hata mimi nakuunga mkono, nilisikia tetesi kuwa SC watamchukua Elias Maguli katika usajili wao, mara nasikia ooh hapana Adam Salamba ni zaidi ya hao wakina Maguli na wengine kisa tu Salamba aliifunga Simba huu kweli ushabiki mandazi na usajili uchwara.Mkuu Kaheza, Salamba na Mo aliyetoka Prisons bora kina Mavugo
Aisee, I see you've lost your head man.Kama ' Mamaako ' vile!
Bora wangemuacha baada ya mashindano kwisha.Hata kama alikuwa anataka alipwe hiyo 43 Million Shillings nadhani kwa uwezo wake mkubwa alikuwa anastahili. Tofauti na wengi Mimi huyu Kocha nimemfuatilia kote alikopita na niseme tu kwamba kama kulikuwa na Kipindi ambacho Simba SC tulipata bahati na tumeichezea ya kumpata Kocha mzuri ambaye angetusaidia na kutupeleka mbali basi alikuwa ni huyu Mzungu Mfaransa Pierre Lechantre. Nimeumia na nimesikitika sana kwa Yeye Kufukuzwa au Kuachwa kama vile hakuna alichotufanyia Kizuri na cha kutusaidia.
Tufungwe tu leo na Gor Mahia ili tuheshimiane kudadadeki!!!!!!!
Mara hii yamekua haya?Uyu salamba alikuwa wa kuchukuliwa na Yanga isiyokuwa na hela sio Simba
Hivi mleta mada huwa ni me au ke?Mleta Mada huwa ananifurahishaga sana,hapendi kbs kulea lea kitu ,safi sana
Mmmh huu uchonganishi sasaHivi mleta mada huwa ni me au ke?
Tabia kama hizi wanazo mashoga.. Sasa sijui we nikueleweje...!!Uyu salamba alikuwa wa kuchukuliwa na Yanga isiyokuwa na hela sio Simba
Mazee akina mama wa nini tena hapa??? Mama kazeeka ndani huko muacheni pseKama ilivyo ya ' Mamaako ' pia.
Sawa mkuu, tumepata pa kuanzia na sidhani kama Mo dewji atakuwa na mambo ya kiswahili kuelekea kwenye mabadiliko makubwa ya club yetu pendwa..ushauri nini kifanyike kwa kuwa bado Lechantre yupo hapo hapo dsm akisubiri huruma ya Mo dewji, hatutaki kurudi kule tulipotoka awali!Na kama Kocha akibaki huyu huyu ' Mpuuzi ' wenu na ' Mnafiki ' Masoud Djuma Irambona sahauni kupata mafanikio mnayoyataka. Ni Kakocha ' Kapumbavu ' halafu nakachukia kweli kwakuwa ndiye Mtu mwenye ' Majungu ' ndani ya Timu huku akiwagawa mno Wachezaji na bahati mbaya sana Uongozi wa Simba SC unamlea.