Si mnatamba mna kikosi cha ubingwa wa Afrika? mbona sasa vijiweni na vikaoni mwenu leo mnasali mkutane na hawa wadhaifu?

Si mnatamba mna kikosi cha ubingwa wa Afrika? mbona sasa vijiweni na vikaoni mwenu leo mnasali mkutane na hawa wadhaifu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mnaomba mkutane na akina Medeama, Jwaneng Galaxy na ile Timu yenye Jina la Shetani Mweusi.

Kudadadeki zenu leo mnapangiwa na Wababe wa Afrika Wafuatao na mtakoma na kuwakoma...

Al Ahly ( Egypt )
Simba SC ( Tanzania )
TP Mazembe FC ( Congo DR )
Mafuriko Kigamboni FC ( Tanzania )

Kila Siku mnatupigia Mikelele yenu ya Kishamba kuwa mna Kikosi cha Kucheza Fainali ya CAFCL sasa kwanini leo Wote mna Nyuso za Huruma, mnalia lia huku mkimwomba Mungu msipangiwe na Giants?

Wapuuzi nyie leo ndiyo mtajua hamjui baada ya Draw huko Johannesburg ( Gauteng ) Afrika Kusini kuanzia Saa Tisa ( 9 ) za Alasiri.
 
Mnaomba mkutane na akina Medeama, Jwaneng Galaxy na ile Timu yenye Jina la Shetani Mweusi.

Kudadadeki zenu leo mnapangiwa na Wababe wa Afrika Wafuatao na mtakoma na kuwakoma...

Al Ahly ( Egypt )
Simba SC ( Tanzania )
TP Mazembe FC ( Congo DR )
Mafuriko Kigamboni FC ( Tanzania )

Kila Siku mnatupigia Mikelele yenu ya Kishamba kuwa mna Kikosi cha Kucheza Fainali ya CAFCL sasa kwanini leo Wote mna Nyuso za Huruma, mnalia lia huku mkimwomba Mungu msipangiwe na Giants?

Wapuuzi nyie leo ndiyo mtajua hamjui baada ya Draw huko Johannesburg ( Gauteng ) Afrika Kusini kuanzia Saa Tisa ( 9 ) za Alasiri.
Waonee huruma watoto wa mwanaume mwenzio
 
Mnaomba mkutane na akina Medeama, Jwaneng Galaxy na ile Timu yenye Jina la Shetani Mweusi.

Kudadadeki zenu leo mnapangiwa na Wababe wa Afrika Wafuatao na mtakoma na kuwakoma...

Al Ahly ( Egypt )
Simba SC ( Tanzania )
TP Mazembe FC ( Congo DR )
Mafuriko Kigamboni FC ( Tanzania )

Kila Siku mnatupigia Mikelele yenu ya Kishamba kuwa mna Kikosi cha Kucheza Fainali ya CAFCL sasa kwanini leo Wote mna Nyuso za Huruma, mnalia lia huku mkimwomba Mungu msipangiwe na Giants?

Wapuuzi nyie leo ndiyo mtajua hamjui baada ya Draw huko Johannesburg ( Gauteng ) Afrika Kusini kuanzia Saa Tisa ( 9 ) za Alasiri.
sisi tupo kimya mnaohangaika ni nyie
 
Mnaomba mkutane na akina Medeama, Jwaneng Galaxy na ile Timu yenye Jina la Shetani Mweusi.

Kudadadeki zenu leo mnapangiwa na Wababe wa Afrika Wafuatao na mtakoma na kuwakoma...

Al Ahly ( Egypt )
Simba SC ( Tanzania )
TP Mazembe FC ( Congo DR )
Mafuriko Kigamboni FC ( Tanzania )

Kila Siku mnatupigia Mikelele yenu ya Kishamba kuwa mna Kikosi cha Kucheza Fainali ya CAFCL sasa kwanini leo Wote mna Nyuso za Huruma, mnalia lia huku mkimwomba Mungu msipangiwe na Giants?

Wapuuzi nyie leo ndiyo mtajua hamjui baada ya Draw huko Johannesburg ( Gauteng ) Afrika Kusini kuanzia Saa Tisa ( 9 ) za Alasiri.
We sema tu unakhofia Yanga kuingia fainali CAF CL,aaahaaaa
 
Mnaomba mkutane na akina Medeama, Jwaneng Galaxy na ile Timu yenye Jina la Shetani Mweusi.

Kudadadeki zenu leo mnapangiwa na Wababe wa Afrika Wafuatao na mtakoma na kuwakoma...

Al Ahly ( Egypt )
Simba SC ( Tanzania )
TP Mazembe FC ( Congo DR )
Mafuriko Kigamboni FC ( Tanzania )

Kila Siku mnatupigia Mikelele yenu ya Kishamba kuwa mna Kikosi cha Kucheza Fainali ya CAFCL sasa kwanini leo Wote mna Nyuso za Huruma, mnalia lia huku mkimwomba Mungu msipangiwe na Giants?

Wapuuzi nyie leo ndiyo mtajua hamjui baada ya Draw huko Johannesburg ( Gauteng ) Afrika Kusini kuanzia Saa Tisa ( 9 ) za Alasiri.
gentamycine nataka kukwamia tu yanga wanabahati na hii michezo ya kimataifa utaona draw ya leo!
 
Mnaomba mkutane na akina Medeama, Jwaneng Galaxy na ile Timu yenye Jina la Shetani Mweusi.

Kudadadeki zenu leo mnapangiwa na Wababe wa Afrika Wafuatao na mtakoma na kuwakoma...

Al Ahly ( Egypt )
Simba SC ( Tanzania )
TP Mazembe FC ( Congo DR )
Mafuriko Kigamboni FC ( Tanzania )

Kila Siku mnatupigia Mikelele yenu ya Kishamba kuwa mna Kikosi cha Kucheza Fainali ya CAFCL sasa kwanini leo Wote mna Nyuso za Huruma, mnalia lia huku mkimwomba Mungu msipangiwe na Giants?

Wapuuzi nyie leo ndiyo mtajua hamjui baada ya Draw huko Johannesburg ( Gauteng ) Afrika Kusini kuanzia Saa Tisa ( 9 ) za Alasiri.
Toa hiyo takataka (simba) timu haijawah nusa final wala haina kikombe chochote cha africa, utaitaje mbabe wa Africa!
 
Back
Top Bottom