Si mtu mweusi bali mwarabu alipeleka ustaarabu ulaya

Si mtu mweusi bali mwarabu alipeleka ustaarabu ulaya

warabu walitawala spain kwa muda mrefu baadae wakatawala part of france na scotland, walijenga misikiti mikubwa zaidi ya 700 spain, majengo mazuri kama alhambra kwa wakati huo yalikua na bustani, barabara nzuri, ulikua na uwezo wa kutembea usiku maili zaidi ya10 bila kukuta giza ambapo ilichukua handred of years kwa jiji kama london kua na hata taa1 barabarani na paris kua na levo izo. jiji kama coldova lilijengwa na mwarabu karne ya 10, mwarabu ndiye alipeleka utamaduni wa kuoga kwenye mabafu na kuoga kwa sabuni ulaya, vazi la chupi ka-introduce mwarabu ulaya kabla ya apo wazungu walikua wakioga ovyo tu taka mwili zilisambaa kila kona.
Mwarabu alter kyupi wakati yeye ashindia Msuli tuuuu?
 
Toyota War - Wikipedia vita nyingine hii hapa iliyoambatana na kichapo kwa mwarabu kutoka kwa waafrika.Gaddafi mwenyewe alikiri kuwa waafrika weusi ni majasiri kuliko waarabu.
 
Katika historia ya tiba, wa Japan ndiyo walianza tiba ya upasuaji. Waliweza kumpa mgonjwa dawa zao za asili na akalala na kupoteza fahamu mpaka upasuaji kukamilika.

Wahindi waliweka bangi kwenye chetezo Huku walimpa mgonjwa pombe mpaka anapoteza fahamu ndipo wanamfanyia upasuaji.

Waarabu walikuwa na break through ya utumiaji wa opium ambao mpaka leo unatumika kama anaesthetic
Opium ilitumika zama za zamani sana kabla ya yesu kipindi hicho watu wa madawa waliitwa alchemist ilikuwa ni kundi kubwa wakiwemo madaktari sasa kutokana na muingiliano wa itafutaji wa dawa mbali mbali wa japan walikuja na hii walitumia bangi na opium poppy (opium milk) kuondoa maumivu wakati wa upasuaji wakati huo indian na waarabu hawakua nyuma pia hawa egyptian ndio watu wa kwanza katika swala zima la elimu ya madawa na vitu vingi vya kisayansi katika historia alitokea jamaa mmoja anaitwa mohammed ibin raazi huyo alitengeneza kilevi pure yaana ethanol , mgiriki alitoka kwake na kuja africa (egypt) kujifunza ustaarabu na elimu namna ya kuvaa. Vitu vingi mzungu alikuja kuendeleza tu. Pia katika historia ya alchemy anatokea mwanamke mmoja wa kiafrika huko egypt yeye alikuwa wa kwanza kuleta manukato duniani na nadhani hata kioo kilitengenezwa africa au nchi za asia. Sema wengi walikuwa wanakimbilia nchi za ulaya ndio kilicho tuponza tukaonekana hatujangudua kitu chochote.
 
nawasalimu jf members, kuna mwanajamvi alitoa uzi usemao mtu mweusi ndie alipeleka ustaarabu ulaya na asia, iyo si kweli bali kuanza kuhubiriwa kwa dini ya kiislam na mtume muhamad 7century kulipelekea mwaka 708 kundi la waarabu kuingia north africa morocco lengo likiwa kueneza dini na ustaarabu wao dunia yote, watu wa north africa wakawapokea waarabu na kukubali kiarabu kua lugha yao na uislam kua dini yao.
mwaka 711 AD chini ya kamanda wa kiarabu tarik ibn zayid (gilbral) likaundwa jeshi (moorish army) lipatako watu 7000, watu weusi 6700 (watu wa north afrika walikua weusi) na waarabu 300 na safari ya kwenda ulaya ikaanza wakapita iberian peninsula kwenye mlima mkubwa wa mawe na hadi leo mlima huo unaitwa tarik mountains (gilbrater), kiarabu wanaita jabal eltarik yote yakisanifu jina la tarik ibn ziyad. baada ya kukanyaga ardhi ya spain tarik akaamuru boti zao zote zichomwe moto lengo likiwa ata yakizuka mapigano washindwe kurudi nyuma wapigane adi kufa ili azma yao ya kupeleka dini itimie. INAENDELEA
Weusi waliwapokea Waarabu huko North Africa?

Kama ndivyo, uje utueleze nini kilitokea mpaka nchi zote za Northern Africa kuwa za Waarabu tupu?
Weusi walienda wapi?
 
warabu walitawala spain kwa muda mrefu baadae wakatawala part of france na scotland, walijenga misikiti mikubwa zaidi ya 700 spain, majengo mazuri kama alhambra kwa wakati huo yalikua na bustani, barabara nzuri, ulikua na uwezo wa kutembea usiku maili zaidi ya10 bila kukuta giza ambapo ilichukua handred of years kwa jiji kama london kua na hata taa1 barabarani na paris kua na levo izo. jiji kama coldova lilijengwa na mwarabu karne ya 10, mwarabu ndiye alipeleka utamaduni wa kuoga kwenye mabafu na kuoga kwa sabuni ulaya, vazi la chupi ka-introduce mwarabu ulaya kabla ya apo wazungu walikua wakioga ovyo tu taka mwili zilisambaa kila kona.

HIZI STORI ZA KUSADIKIKA! THEN WHAT HAPPENED HADI MTU ALIYEKUWA ANAKUNYA HOVYO AMTAWALE MWARABU NA MWAFRIKA KWA MPIGO? WAKATI UISLAM UNAENDA ULAYA, ULAYA ILISHAKUWA MBALI. KUMBUKA WAKATI HUO UKRISTO ULISHAFIKA NCHI ZOTE ZA ULAYA KUPITIA DOLA YA RUMI. WAGIRIRI WALISHATAWA KITAMBO SANA ULAYA WAKATI HUO HATA KABLA YA DOLA YA RUMI NA KABLA YA KUZALIWA KWA KRISTO. ETI LEO WAISLAM NDO WALIOWAZINDUA AKILI WAZUNGU KUVAA NGUO. UWONGO MWINGINE MUWE MNAUVALISHA CHUPI. MSIAMINI KILA KINACHOANDIKWA, TUMIAENI AKILI KUDADAVUA UWONGO NA UKWELI.
 
baada ya mwarabu kuja kwetu afrika na kutupa utamaduni wake na dini yake yeye, ndio akatubeba wafrika
ZULU KINGS,THE GREAT ZIMBABWE MASAI NATION.ina maana na wao walileletewa utamaduni na kubebwa na waarabu.
 
ielewe mada mkuu, kuna watu wanasema weusi ndio tulienda ku-civilize europe iyo si kweli kwakua hakuna ata chembe ya utamaduni wetu tulioupeleka ila baada ya mwarabu kuja kwetu afrika na kutupa utamaduni wake na dini yake yeye, ndio akatubeba wafrika adi ulaya na tulichoeneza kule ni utamaduni wa mwarabu na dini ya kiislam tu, ata kina mansa kankan musa na empire kama ghana, mali, songhai ziliendelea kutokana na tamaduni ya mwarabu na uislamu.
kwani baada ya kina mansa musa na wengine kutoka hija meca ndio wakaja na idea za maendeleo kutoka kwa warabu na vyuo kama timbuktu kujengwa.
Waafirika Weusi Waislamu ndio waliotawala ulaya. Walikuwa wakiitwa Moors.
 
Mwarabu wa asili,sio mtu mweupe,mwarabu ni mtu mweusi,wa nywele za maboga boga.Ni baada ya kuoana na watumwa,waliotoka nchi za ulaya ya mashariki,kupelekwa nchi za kiarabu,ndio wakapatikana machotara weupe wa kiarabu.Taifa la kiarabu,limepoteza uasili yake,waarabu wachache sana,wa asili,weusi,wanapatikana wachache.Wapo waliobakia katika kisiwa cha Skotra,karibu na Yemen,ni miongoni mwa sehemu,zenye waarabu wa asili,weusi.
 
kwanini hawakuitwa Africans? or Tuaregs? or Bahimas? or khoisans? or Zulu? etc.
Moors ni Jina walilopewa na Watawaliwa Mkuu. Ingia kidogo kwenye Google tafuta ethnicity of the moors wanakuonyesha hadi I sura za watawala hao.
 
Moors ni Jina walilopewa na Watawaliwa Mkuu. Ingia kidogo kwenye Google tafuta ethnicity of the moors wanakuonyesha hadi I sura za watawala hao.
Usiamini kila kilichopo katika google. Ukweli ni moja tu, kwamba wenzetu wazungu wametangulia kuzinduka katika katika masuala ya maendeleo. Sisi tunapambana ku copy na ku paste.
 
Nikweli kabisa kipindi china wanagundua rocket za mishale na uarabuni wanagundua dawa za kisasa kwa magonjwa mbalimbali..bara la ulaya walikuwa wapo zama za merlini na harry porter whichcraft and wizard...mtu kipindihicho ulaya alikuwa anaheshimika kutokana na uchawi wake..mfano palikuwa na mtu anaitwa gorndofu the gray, gorgon medussa, dracular, frakinsteirn na wengineo walikuwa primitive kweli kweli.
Hahahahaha we jamaa ni mpuuzi sana..! Watu wapo serious we unaleta characters wa fictional movies..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Mwarabu peke yake kama mwarabu hajawahi kushinda vita dhidi ya afrika na mataifa mengine.
tafuta sababu iliyowakimbiza european christian, adi kutafuta root ya kwenda india kwa kuzunguka afrika maana kabla ya apo walikua wanapita njia ya ardhi kupitia uturuki adi india kichapo walichokua wanakipata kutoka kwa mwarabu kilikua hatari.
 
Waafirika Weusi Waislamu ndio waliotawala ulaya. Walikuwa wakiitwa Moors.
sawa ila point ni kua hakuna utamaduni wa mwafrika mweusi waliopeleka kule walichopeleka ni dini ya kiislam na ustaarabu wa mwarabu.
 
Katika historia ya tiba, wa Japan ndiyo walianza tiba ya upasuaji. Waliweza kumpa mgonjwa dawa zao za asili na akalala na kupoteza fahamu mpaka upasuaji kukamilika.

Wahindi waliweka bangi kwenye chetezo Huku walimpa mgonjwa pombe mpaka anapoteza fahamu ndipo wanamfanyia upasuaji.

Waarabu walikuwa na break through ya utumiaji wa opium ambao mpaka leo unatumika kama anaesthetic
Sky Eclat nimeona nichangie katika uzi huu kwa jinsi nilivyoweza kupata hii article ili tuweze kupanua mawazo.
A tribute to Zakariya Razi (865 - 925 AD), an Iranian pioneer scholar.
Modanlou HD1.
Author information
1
Department of Pediatrics, University of California, Irvine Medical Center, U.S.A. Modanlou@uci.edu
Abstract
The resurgence of Islamic Civilization in the Near East in the 7th century AD and its expansion to Persian Empire and Westward provided opportunities of access Persian, Hellenic, and Roman writings in philosophy and medicine. Based on their observations and experiences, Islamic physician-philosophers expanded upon those writings and at times challenged them. Among these physician-philosophers admiring and challenging Galen was Zakariya Razi described as the greatest physician of Islam and Medieval Ages.A search of electronic and written materials about early Islamic Medicine was carried out focusing on Persian physician-philosophers Zakariya Razi. Abu Bakr Mohammad Ibn Zakariya al-Razi, known in the West as Rhazes, was born in 865 AD in the ancient city of Rey, Near Tehran. A musician during his youth he became an alchemist. He discovered alcohol and sulfuric acid. He classified substances as plants, organic, and inorganic. At age 30, he undertook the study of medicine. He was a prolific writer with more than 184 texts in medicine attributed to him with 40 of them currently available. Among them are Kitab al-Mansoori, Kitab al-Hawi, and Kitab al -Judari wa al-Hasabah. The latter is the first scientific description for the recognition and differentiation of smallpox and measles. The Bulletin of the World Health Organization of May 1970 pays tribute to Razi by stating "His writings on smallpox and measles show originality and accuracy, and his essay on infectious diseases was the first scientific treatise on the subject". Razi established qualifications and ethical standards for the practice of medicine. Zakariya Razi was not only one of the most important Persian physician-philosophers of his era, but for centuries his writings became fundamental teaching texts in European medical schools. Some important aspects of his contributions to medicine are reviewed.

A tribute to Zakariya Razi (865 - 925 AD), an Iranian pioneer scholar. - PubMed - NCBI
 
Sky Eclat nimeona nichangie katika uzi huu kwa jinsi nilivyoweza kupata hii article ili tuweze kupanua mawazo.
A tribute to Zakariya Razi (865 - 925 AD), an Iranian pioneer scholar.
Modanlou HD1.
Author information
1
Department of Pediatrics, University of California, Irvine Medical Center, U.S.A. Modanlou@uci.edu
Abstract
The resurgence of Islamic Civilization in the Near East in the 7th century AD and its expansion to Persian Empire and Westward provided opportunities of access Persian, Hellenic, and Roman writings in philosophy and medicine. Based on their observations and experiences, Islamic physician-philosophers expanded upon those writings and at times challenged them. Among these physician-philosophers admiring and challenging Galen was Zakariya Razi described as the greatest physician of Islam and Medieval Ages.A search of electronic and written materials about early Islamic Medicine was carried out focusing on Persian physician-philosophers Zakariya Razi. Abu Bakr Mohammad Ibn Zakariya al-Razi, known in the West as Rhazes, was born in 865 AD in the ancient city of Rey, Near Tehran. A musician during his youth he became an alchemist. He discovered alcohol and sulfuric acid. He classified substances as plants, organic, and inorganic. At age 30, he undertook the study of medicine. He was a prolific writer with more than 184 texts in medicine attributed to him with 40 of them currently available. Among them are Kitab al-Mansoori, Kitab al-Hawi, and Kitab al -Judari wa al-Hasabah. The latter is the first scientific description for the recognition and differentiation of smallpox and measles. The Bulletin of the World Health Organization of May 1970 pays tribute to Razi by stating "His writings on smallpox and measles show originality and accuracy, and his essay on infectious diseases was the first scientific treatise on the subject". Razi established qualifications and ethical standards for the practice of medicine. Zakariya Razi was not only one of the most important Persian physician-philosophers of his era, but for centuries his writings became fundamental teaching texts in European medical schools. Some important aspects of his contributions to medicine are reviewed.

A tribute to Zakariya Razi (865 - 925 AD), an Iranian pioneer scholar. - PubMed - NCBI
Asante sana mkuu umeelimisha wengi
 
sawa ila point ni kua hakuna utamaduni wa mwafrika mweusi waliopeleka kule walichopeleka ni dini ya kiislam na ustaarabu wa mwarabu.
ila Najua warumi walikuwa wanatahiri. Isipokuwa sina uhakika kutahiri kulianza na wamisri au waarabu.
 
Back
Top Bottom