Si mtu mweusi bali mwarabu alipeleka ustaarabu ulaya

 
Ulaya wqlikuwa wanapaa na mafagio kurogana
 
Hahahahaha we jamaa ni mpuuzi sana..! Watu wapo serious we unaleta characters wa fictional movies..! [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Hizo nistory zilizoendana na ukweli.
 
Vipi kuhusu wale wa Saudi Arabia wengi wao ni weusi


Vipi wale waindi weusi?
 
ndugu inapendeza zaidi kama ukileta hoja nzito na fikirishi namna hii uwe umejiandaa uzuri na sio kuleta hoja nusu maana hata kama wanena ukweli ni rahisi kudharaulika na kuchukuliwa poa tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…