Si nina ibiwa hapa??

Hilo zigo la misumari kwa mleta mada, huyo Dada apeleke alikobebeshwa utakuwa mzigo wa sukari baadae kwa mwenye mzigo
 
Hilo zigo la misumari kwa mleta mada, huyo Dada apeleke alikobebeshwa utakuwa mzigo wa sukari baadae kwa mwenye mzigo
Nlikosea figure aliingia tarehe 4/9 nkakutana nae 10/9 ,nkaja kukutana nae tena 1/10 juz ndo anadai hazion cku mm sio mtaalamu wa haya mahesabu ndo Mana nmeleta mnishauri
 
Asante sana mkuu,,ila nlikosea figure aliingia tarehe 4/9 nkakutana nae 10/9 then nkakutana nae tarehe 1/10 ndipo juz anasema hazion cku zake
 
Asante sana mkuu,,ila nlikosea figure aliingia tarehe 4/9 nkakutana nae 10/9 then nkakutana nae tarehe 1/10 ndipo juz anasema hazion cku zake
Mzunguko wake Ni siku ngapi? Lakini hata hivyo uwezekano wa kupata mimba Ni mdogo kwa tarehe hizo
 
Masikini
Possibly tarehe 1/9 inaweza kuzaa mtoto! Am not sure
Cjakuelewa hapa mkuu,,,aliingia tarehe 4 /9 nikamkula papuchi tarehe 10/9 akaja tena kiumeni tarehe 1/10 nikamkula tena juzi ndo ananiambia upuuzi huo mahesabu ayasomi
 
Naunga mkono hoja, hesabu hazikubali kabisa

Mkuu awe makini tu
 
Hiyo mimba hakuipata kupitia WEWE.

Huyo ni msanii, nashauri kwanza akapime. Akisema anayo mkatalie kwa hesabu za kalenda, hakuna kalenda itayokubali hiyo hesabu kwa namna yoyote ile.
 
So simple,siku za mwanamke hubadilika kutokana na sababu mbali mbali,mbegu za kiume huweka kuishi hata kwa masaa 36.So inawezekana kabisa kuwa ikawa ni ya kwako.Busara itumike ndugu
 
Hiyo mimba hakuipata kupitia WEWE.

Huyo ni msanii, nashauri kwanza akapime. Akisema anayo mkatalie kwa hesabu za kalenda, hakuna kalenda itayokubali hiyo hesabu kwa namna yoyote ile.
Asantee mkuu
 
Wale wenye ufahamu na mambo ya uzazi especially Siku mabaya msaaada pls

Wizi mtakatifu. Tena kama mzunguko wa siku 28-30 na alianza 8/9, wewe ukakutana nae tar 1/10, siku zake mbaya zinaanzia 18/10-21/10, hata kama zilianza baadae, tar 1/10 chances za mimba ni 2%, tarehe 1 thats a week before next period kupata mimba labda iwe ya kitakatifu kama ya bikira maria. Au mlikutana tena kabla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…