Si sahihi kupeleka watu walioshindwa katika mikoa ya kimkakati kama Arusha na Songwe

Si sahihi kupeleka watu walioshindwa katika mikoa ya kimkakati kama Arusha na Songwe

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mikoa ya Arusha na Songwe ni malango ya biashara nchini. Inahitaji watu wenye capacity yakuweka watu pamoja kuliko watu waliofeli.

Unapokuwa na kiongozi aliyefeli kisiasa ni vigumu kiongozi huyo kufanya vizuri kwenye jukwaa la utumishi wa umma.

Chongolo na Makonda wapo kwenye frustration zilizozalishwa na migogoro ndani ya chama. Walipaswa kwenda mikoa isiyo na biashara nyingi kama hii. Kwamba tunategemea Arusha utalii utapanda? Kwa trust gani wageni waliyonayo kwa kiongozi huyu mpya?

Tuwekeze sana kupanga safu ya kusimamia maendeleo kuliko vurugu za kisiasa .
 
Mikoa ya Arusha na Songwe ni malango ya biashara nchini. Inahitaji watu wenye capacity yakuweka watu pamoja kuliko watu waliofeli.

Unapokuwa na kiongozi aliyefeli kisiasa ni vigumu kiongozi huyo kufanya vizuri kwenye jukwaa la utumishi wa umma.

Chongolo na Makonda wapo kwenye frustration zilizozalishwa na migogoro ndani ya chama. Walipaswa kwenda mikoa isiyo na biashara nyingi kama hii. Kwamba tunategemea Arusha utalii utapanda? Kwa trust gani wageni waliyonayo kwa kiongozi huyu mpya?

Tuwekeze sana kupanga safu ya kusimamia maendeleo kuliko vurugu za kisiasa .
MAKONDA SAFI SANA KWA MKOA WA ARUSHA, COLABO LAKE AKIWEKEWA OLE SABAYA KAMA MKUU WA WILAYA ARUSHA MJINI MNASEMAJE (CHADOMO) KWA MIXER HILO ADHIMU.
-Dawa janja janja ni janja zaidi yao!
 
Mikoa ya Arusha na Songwe ni malango ya biashara nchini. Inahitaji watu wenye capacity yakuweka watu pamoja kuliko watu waliofeli.

Unapokuwa na kiongozi aliyefeli kisiasa ni vigumu kiongozi huyo kufanya vizuri kwenye jukwaa la utumishi wa umma.

Chongolo na Makonda wapo kwenye frustration zilizozalishwa na migogoro ndani ya chama. Walipaswa kwenda mikoa isiyo na biashara nyingi kama hii. Kwamba tunategemea Arusha utalii utapanda? Kwa trust gani wageni waliyonayo kwa kiongozi huyu mpya?

Tuwekeze sana kupanga safu ya kusimamia maendeleo kuliko vurugu za kisiasa .
Hao watu walifeli kwenye nini?
 
Back
Top Bottom