LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 122
Wengi tunadhani maskini ni mtu pekee aliyekosa mahitaji muhim.
Lakini ukweli ni zaidi ya hapo.
Unajua hizi pia ni sifa za masikini?
1/kushindwa “kufikiria” uzalishaji mali.
2/uvivu
3/kuridhika na ulichonacho
4/kushindwa kua tofauti na wengine.
5/kushindwa kuishi mbali na mazingira hatarishi.
6/kushindana na wasiokuzidi kwa uwezo
7/kutojua kesho yako
8/kukosa kujiamini
9/kuendekeza UJAMAA.
10/kukosa Maamuzi kamili(msimamo)
11/Kutoa lawama kwa wengine.
Mengine mengi..
Je..kama unayo tabia moja apo, huoni wewe ni kivutio cha kutawaliwa?
Nikudokeze:
Wanasiasa ndipo walipotuwezea hapo.
#Open mind always win.
Lakini ukweli ni zaidi ya hapo.
Unajua hizi pia ni sifa za masikini?
1/kushindwa “kufikiria” uzalishaji mali.
2/uvivu
3/kuridhika na ulichonacho
4/kushindwa kua tofauti na wengine.
5/kushindwa kuishi mbali na mazingira hatarishi.
6/kushindana na wasiokuzidi kwa uwezo
7/kutojua kesho yako
8/kukosa kujiamini
9/kuendekeza UJAMAA.
10/kukosa Maamuzi kamili(msimamo)
11/Kutoa lawama kwa wengine.
Mengine mengi..
Je..kama unayo tabia moja apo, huoni wewe ni kivutio cha kutawaliwa?
Nikudokeze:
Wanasiasa ndipo walipotuwezea hapo.
#Open mind always win.