Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tehe teheMimi hilo la mavazi siyo tatizo, tatizo ni anapopiga mswaki ndani ya dakika moja halafu brash za mswaki zimelalia upande kama njia ya ukoka.
Kwa mujibu wa dini ya kiislam ni kukaa uchi na dhambi juu:Mimi hilo la mavazi siyo tatizo, tatizo ni anapopiga mswaki ndani ya dakika moja halafu brash za mswaki zimelalia upande kama njia ya ukoka.
Hahah!Si ustaarabu kwakweli..
Mmh[emoji14]Hahah!
[emoji41][emoji41]Mmh[emoji14]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna Eneo Ninapoishi Mwenye Nyumba
Kajenga Nyumba Ya Kupanga Pembeni
Halafu Nyumba Anayoishi Yeye Ni Self
Ila Sasa Mkewe Asubuhi Lazima Aje Apige Mswaki
Nje.
Kuna Siku Nadhani Mtani Wake Akapita
Akamkuta Anapiga Mswaki Nje Ya Nyumba
Akamwambia Nawe Wifi Unatutia Aibu
Kaka Kujenga Nyumba Self Lakini Umetoka Nje Na Kanga Moja Kwanini
Wifi Akajitetea Eti Umbea Ningeuona Saa Ngapi Nikipiga Mswaki Ndani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna Eneo Ninapoishi Mwenye Nyumba
Kajenga Nyumba Ya Kupanga Pembeni
Halafu Nyumba Anayoishi Yeye Ni Self
Ila Sasa Mkewe Asubuhi Lazima Aje Apige Mswaki
Nje.
Kuna Siku Nadhani Mtani Wake Akapita
Akamkuta Anapiga Mswaki Nje Ya Nyumba
Akamwambia Nawe Wifi Unatutia Aibu
Kaka Kujenga Nyumba Self Lakini Umetoka Nje Na Kanga Moja Kwanini
Wifi Akajitetea Eti Umbea Ningeuona Saa Ngapi Nikipiga Mswaki Ndani
Mbavu zangu jamani!Mbona kawaida tu huku kwetu mie huwa napiga mswaki nje asubuhi huku nimejifunga taulo kifua wazi na kitambi changu
nakutana na baba mwenye nyumba naye anapiga mswaki amejifunga kitenge cha mkewe kifua wazi na hivi mwembamba vimbavu vinahesabika!
Muda huo akipita mtu hunisalimia kwanza mimi
hahahaaaaaMbona kawaida tu huku kwetu mie huwa napiga mswaki nje asubuhi huku nimejifunga taulo kifua wazi na kitambi changu
nakutana na baba mwenye nyumba naye anapiga mswaki amejifunga kitenge cha mkewe kifua wazi na hivi mwembamba vimbavu vinahesabika!
Muda huo akipita mtu hunisalimia kwanza mimi
Waafrica bado sana,hizo tabia nyingi zipo uswazini lakini wenye Sefu-Kontena aka Masta wanamaliza mambo yote ndani kwa ndani.Wale wanaopiga mswaki nje ya nyumba hasa wanaume tena kandokando ya njia huku wamevaa vibukta vifupi vimeishia kwenye mapaja na tumbo wazi sio ustaarabu.
Tekeleza piaSawa nimekusikia
poa bossTekeleza pia
Kuna Jirani yangu anatabia hiyo tena saa akipiga mswaki tena ule wa miti aliyeko kilometer 5 atamsikia utasema anachinjwa[emoji41]