Si uungwana kabisa kumrekodi Chikumbalaga na kumtumia kupata pesa wakati ukijua ni mgonjwa wa akili

Ila kweli.kikubwa na yeye APEWE HELA.aendeshe maisha yake.ila kama wanamdhulumu hapo tatizo
Mnataka arudi kijijini akasote eeeh,,,acheni roho mbaya wabongo jamaa katolewa shamba uko alikuwa yuko rafu sana kaletwa mjini anapendeza na anafanya comedy zake

mmeenza kumuonea wivu anavyotrend
 
Spring coil moja imekata ikiwekwa ingine dish litanasa mawimbi vizuri..alisikika jamaa yake wa karibu.hivyo akipelekwa hapo Dom Milembe kwa matengenezo kidogo kitu inakubali ila ndio fursa itapotea kwa hao wawekezaji..
 
Huyu jamaa si anavaa vizuri, anakula vizuri, anaishi pazuri pamoja na kutumika? Serikali ikimchukua inaweza mpa hayo anayoyapata now?
Sidhani kama shida ni ugonjwa wa akili, shida ni pesa anayotengeneza huyo anayefanya naye kazi mitandaoni.
Shida kubwa ya watu wanaojifanya kushauri mtu fulani alipaswa kusaidiwa kwa namna fulani, wao huwa hawatoi msaada hata 100.

Tena kwenye nyumba zao, hata sisimizi halambi sukari.
 
Shida kubwa ya watu wanaojifanya kushauri mtu fulani alipaswa kusaidiwa kwa namna fulani, wao huwa hawatoi msaada hata 100.

Tena kwenye nyumba zao, hata sisimizi halambi sukari.
Kabisa
 

Mkuuu unachokiongea ni ukweli sana,ila sema huyu jamaa kuna mahali ilawai ongea matusisi alisema mm sio Malaya ww ndio Malaya,alafu akasema hacha Mambo ya Kise.....****.Sory kwa kutaka kuthibitisha.
 
Mkuuu unachokiongea ni ukweli sana,ila sema huyu jamaa kuna mahali ilawai ongea matusisi alisema mm sio Malaya ww ndio Malaya,alafu akasema hacha Mambo ya Kise.....****.Sory kwa kutaka kuthibitisha.
Hayo siyo matusi mkuu.
 
Nikusahihishe mkuu Dkt. Shika (R.I.P) hakua mgonjwa wa akili mzee alikua anajua sana kupangilia sentensi zake akihojiwa. Sikuona mwandishi yeyote alieweza kumhoji yule mzee nadhani ni kwasababu aliwazidi sana maarifa, jaribu kufatilia mahojiano yake utalijua hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…