mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ila kweli.kikubwa na yeye APEWE HELA.aendeshe maisha yake.ila kama wanamdhulumu hapo tatizo
Mnataka arudi kijijini akasote eeeh,,,acheni roho mbaya wabongo jamaa katolewa shamba uko alikuwa yuko rafu sana kaletwa mjini anapendeza na anafanya comedy zake
mmeenza kumuonea wivu anavyotrend