Si uungwana kabisa kumrekodi Chikumbalaga na kumtumia kupata pesa wakati ukijua ni mgonjwa wa akili

Si uungwana kabisa kumrekodi Chikumbalaga na kumtumia kupata pesa wakati ukijua ni mgonjwa wa akili

Hayuko sawa kuna nut zimelegea kidogo hivyo kusababisha dishi liyumbe... Haya ni baadhi ya majibu yake
Ana miaka 75
Amezaliwa mwaka 75
Kwenye show anazoalikwa hulipwa kati ya laki 250 mpaka laki 5
Pale kariakoo kwenye duka lililomleta dar toka Tunduma kazi yake ni kuingiza na kutoa mizigo store
Kwenye hilo duka kwa siku anauza viatu pair 5
Mshahara anaolipwa ni laki 250

Kwa majibu hayo machache utaona yuko obsessed na namba 5, cd ya medulla ina scrach kila ikifikia kwenye tano
Mtu pekee anayemuamini na kumtaja sana ni mama yake mzazi, hata pesa anazolipwa humpa mama yake amuwekee...
Hana demu na kilevi chake ni maji[emoji848][emoji848][emoji848] kumtumia kama mvuto kwenye biashara ...kijamii inatatiza kidogo... Labda Robby fashion wanaweza kuja na utetezi kuwa wanataka kumsaidia akuze kipaji chake (cha uchezaji miziki/ngoma) lakini bado huu utetezi unaweza kuacha mashaka mengi
Mkuu kipaji kipi cha uchekeshaji maana hajitambui kabisa, na wala haelewi kafikaje hapo alipo, nilisikiliza mahojiano yake jamaa hazimo kabisa, hao wanaomtumia sidhani kama wanamlipa ki halali, yule hata 2000 Kwa siku anaiona nyingi. Mkuu jamaa dishi limeinama kabisa sio kuyumba
 
Mnataka arudi kijijini akasote eeeh,,,acheni roho mbaya wabongo jamaa katolewa shamba uko alikuwa yuko rafu sana kaletwa mjini anapendeza na anafanya comedy zake

mmeenza kumuonea wivu anavyotrend
Anatumika unasema tuna muonea wivu, hatutaki arudi kijijijini ila atumike ki halali, au wewe ndio unayemsimamia?
 
Roby One muhuni kamtumia kubrand duka tu tuka na chiku tunduma hapa wakuu
Ndiyo mkuu chiku amesharudi Tunduma muda saana, Toka kwenye msiba wa Don mmoja Hivi...nilimwona hata Juzi nimemwona mitaa ya kisimani.
Chiku halipwi pesa yeyote ...na mtu yeyote ...Ila huwa anapewa na Mason ,Wanasiasa ...watu maarufu ..Ila ndo mpaka ajikombekombe.
 
Mnataka arudi kijijini akasote eeeh,,,acheni roho mbaya wabongo jamaa katolewa shamba uko alikuwa yuko rafu sana kaletwa mjini anapendeza na anafanya comedy zake

mmeenza kumuonea wivu anavyotrend
Hakuna mtu anayemwonea wivu chikumbalaga, shida unakuja watu wanapomtumia kwa manufaa yao Bila Yeye kufaidika.
Wewe unamfahamu chiku wa mtandaoni Mimi namfahamu chiku ambaye karibu kila siku nakutana nae..
Kwenye hafla mbalimbali na maisha ya kila siku.
Robby kamtumia then kamtelekeza.
Angekuwa mwanao au ndugu yako ungefurahi?
 
Mibongo mingi vichwa ni viazi: Hapo labda linataka awe omba omba ili limpige majungu.
Kichwa viazi ni yule anayesoma huu Uzi na kukurupuka kujibu bila kujua kwamba hakuna anayemtakia mabaya huyo binadam, tambua kwamba hata yule aliyehifadhi wale walemavu kule guest ukiangalia juu juu utaona kawasaidia kumbe alikuwa anawatumikisha.
 
Wenye matatizo ya akili wengi tu wanatumika au kujitumia na wanapata mashabiki wenzao wenye matatizo ya akili, kwa kutaja wachache, Sister fei, Amberuti na yule bwana ake, Gigy money, Hamo rapa, Ambalulu, Mashalavu, huyu Chikumbalaga, Piere liquid, Dk. Shika (RIP) na wengine wengi tu. Hawa wanahitaji kusaidiwa sio kutumika wanavyotumika, tuwe na huruma.
Kabisa hao wote ni wagonjwa
 
Wenye matatizo ya akili wengi tu wanatumika au kujitumia na wanapata mashabiki wenzao wenye matatizo ya akili, kwa kutaja wachache, Sister fei, Amberuti na yule bwana ake, Gigy money, Hamo rapa, Ambalulu, Mashalavu, huyu Chikumbalaga, Piere liquid, Dk. Shika (RIP) na wengine wengi tu. Hawa wanahitaji kusaidiwa sio kutumika wanavyotumika, tuwe na huruma.
Kuna nabii Tito
 
Hakuna mtu anayemwonea wivu chikumbalaga, shida unakuja watu wanapomtumia kwa manufaa yao Bila Yeye kufaidika.
Wewe unamfahamu chiku wa mtandaoni Mimi namfahamu chiku ambaye karibu kila siku nakutana nae..
Kwenye hafla mbalimbali na maisha ya kila siku.
Robby kamtumia then kamtelekeza.
Angekuwa mwanao au ndugu yako ungefurahi?
unataka kusema uyo chiku wa miaka mitatu nyuma na sasa hivi hakuna changes

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
unataka kusema uyo chiku wa miaka mitatu nyuma na sasa hivi hakuna changes ...chiku wa Sasa kaongezeka umaarufu Tuu/kujuliakana hakuna kingine.
Ni Bora anavyojikomba komba kwa Wanasiasa na Madon wa hapa Tunduma anapewa cash na siyo upuuzi wanaomfanyia Robby uno na wasafi na baadhi ya watu wanaotumia jina lake kutafuta umaarufu Kama mshkaji huyo wa Instagram

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom