Si uungwana kubaguana kwa tofauti za dini

Si uungwana kubaguana kwa tofauti za dini

Mkuu Mimi sio mbaguzi kabisa. Niko flexible mpaka watu wa dini yangu huwa wanashangaa.

Nina uwezo wa kukaa na waamini wa dini yeyote nikasikiliza mahubiri yao na kusali pamoja na bado Niko very strong kwenye dini yangu though nairegard Kama chombo Cha wakoloni tu.

Kinachonisukuma hasa ni amri ya upendo. Ukiwa na upendo vingine vinakuja tu.

Kinachonishangaza Hawa wenzetu wako very rigid, very rigid. Yaani huwa nawashangaa mno.
Ndio maana nikasema huenda kuna kitu kinaingia polepole haujagundua bado. Ukishaweka sisi na wao, eventually kuna tatizo, labda tuseme hao wenzenu kweli wanafuata imani yao ndio inawaambia hivyo kwamba wabague wengine (kama ni kweli basi imani za hivyo kwenye jamii hazifai), ila ukichimba sana imani yako utaona pia ina ubaguzi, unabagua wasio imani yako au ambao unadhani ni watenda dhambi.

That's why nafurahi sana serikali yetu / Tanzania haina Dini bali watu wake ndio wana dini (haya mambo yawe practised kwenye mahekalu au panapo watu wa imani moja ukiyaleta kwenye kadamnasi ni kero kwa wengine wasio imani yako.
 
Kweli ubaguzi ni ubaguzi hata wa ukabila upo Ila atleast kwenye ukabila unaweza usitaje jina la ukoo na mambo yakaenda fresh.

Ila huku kwingine hata ukitaja majina mawili tu, tayari ameshajua wewe si mwenzie na figisu zinaanza. Very ridiculous.
Hujaelewa, issue ni kwamba ubaguzi ni tabia binafsi ya mtu kama huna hiyo tabia ya ubaguzi hata hayo majina rafudhi au muonekano haiwezi kuwa tatizo.
 
Unakuta ofisi nzima wameajiriana dini moja paka mfungua geti.
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
Naona unawasema wa Catholic jamaa Wana roho mbaya yuko padre wao hata gar iwe tupu hakupi lift hata katkat ya pori ukiwa pekeyako

Kama huwasemi hao Basi ubaguzi ni tabia ya mtu na siyo dini
 
Hapana haiwezekani ukajibagua mwenyewe.

Hivi umeona jamaa yako ameingia ofisi flani na amefanikiwa Jambo lake kwa haraka mno.

Wewe unafika pale unaongea na secretary anakuambia hii inawezekana kabisa ngoja bosi akuite...... Unaitwa na bosi unaanza kupigwa danadana. Hapo umejibaguaje??

Dini ipi hiyo sasa?
 
Dini mletewe....

Mnabaguana na kukashifiana.....

Kazi kwerikweri

Ova
 
Kwa ufupi mno

Unajua mtu unaenda ofisi fulani na anayehusika kutoa huduma hapo ni dini fulani, basi akishaona tu jina lako haliendani na dini yake, utazungushwa kupata huduma hadi ukereke.

Na hii dini inafahamika fika kabisa, ni wabaguzi mno. Sijui huko kwenye nyumba za ibada huwa wanafundishwaga nini.

Ni upuuzi wa hali ya juu kumbagua mtu mweusi mwenzio kisa dini ambayo imeletwa na wakoloni sama mojawapo ya tools of colonisation.

Mtu ukimtajia tu jina anaanza kukupiga chenga bila sababu ila palepale akienda wa dini yake na unamjua anahudumiwa fasta.

Tuondoeni hizi mentality zisizo na maana vichwani mwetu. Sisi ni Waafrika weusi na Watanzania before anything else.
Inferiority complex
 
Kwa ufupi mno

Unajua mtu unaenda ofisi fulani na anayehusika kutoa huduma hapo ni dini fulani, basi akishaona tu jina lako haliendani na dini yake, utazungushwa kupata huduma hadi ukereke.

Na hii dini inafahamika fika kabisa, ni wabaguzi mno. Sijui huko kwenye nyumba za ibada huwa wanafundishwaga nini.

Ni upuuzi wa hali ya juu kumbagua mtu mweusi mwenzio kisa dini ambayo imeletwa na wakoloni sama mojawapo ya tools of colonisation.

Mtu ukimtajia tu jina anaanza kukupiga chenga bila sababu ila palepale akienda wa dini yake na unamjua anahudumiwa fasta.

Tuondoeni hizi mentality zisizo na maana vichwani mwetu. Sisi ni Waafrika weusi na Watanzania before anything else.
Ungetaja ni dini gani hao wabaguzi.Usifiche.
 
Mkuu Mimi sio mbaguzi kabisa. Niko flexible mpaka watu wa dini yangu huwa wanashangaa.

Nina uwezo wa kukaa na waamini wa dini yeyote nikasikiliza mahubiri yao na kusali pamoja na bado Niko very strong kwenye dini yangu though nairegard Kama chombo Cha wakoloni tu.

Kinachonisukuma hasa ni amri ya upendo. Ukiwa na upendo vingine vinakuja tu.

Kinachonishangaza Hawa wenzetu wako very rigid, very rigid. Yaani huwa nawashangaa mno.
Ndivyo dini yao inavyowaelekeza
 
Naona unawasema wa Catholic jamaa Wana roho mbaya yuko padre wao hata gar iwe tupu hakupi lift hata katkat ya pori ukiwa pekeyako

Kama huwasemi hao Basi ubaguzi ni tabia ya mtu na siyo dini
Nunua gari yako boss, kupewa lift sio lazima
 
Back
Top Bottom