Ni fikra zako, lakini ukweli utabaki palepale... Huwezi fananisha eneo ambalo ukubwa wake ni aawa na mkoa ama wilaya moja TzBara dhidi ya TzBara kwa ujumla ambayo ina mikoa zaidi ya 21 na yote inataka maendeleoManeno ya wakosaji
Ebu mmrushie kapicha ka bungalow lako unaloishi aache tusumbua na tujumba twa Zanzibar! Fanya chap mwamba!!Kweli wewe utakuwa masikini wa akili Sasa huto tujumba ndo umeona kitu Cha kijufunza
Anza na wewe kwanza chapu nikurushie langu la urithiEbu mmrushie kapicha ka bungalow lako unaloishi aache tusumbua na tujumba twa Zanzibar! Fanya chap mwamba!!
Basi wewe utakuwa punguani. Unatukana nyumba za wenzio wakati yako huwezi kuionesha ! Jinga sana wewe!Anza na wewe kwanza chapu nikurushie langu la urithi
Wanaanzaga na hutohuto tujumba mwisho mnakuja kustuka yamekua majumba, ndo unaanza kupanua mdomo kama jibwaKweli wewe utakuwa masikini wa akili Sasa huto tujumba ndo umeona kitu Cha kijufunza
Hii itakuwa Dubai! Na tutakwenda kukopa fedha huko na misaadaπWakiwa na rasilimali chache sana, Zanzibar wamegundua ili waweze kuendelea haraka ni vizuri waachane na akili za ki Tanzania Bara.
Sisi tukiwa tunaendekeza ujinga eti uraia pacha utahatarisha usalama wao siku nyingi walishapitisha suala la Diaspora kushiriki kuwa sehemu ya uchumi wa nchi yao.
Tukiwa tunaendekeza ujinga sijui wageni wasiruhisiwe kumiliki ardhi wao siku nyingi walishapitisha suala la wageni kumiliki ardhi na matunda yameanza kuonekana kwenye uchumi wao.
Kwa sasa ukitazama kwa makini kwenye kila kitu Zanzibar wanafanya kwa viwango vya juu sana.
Sisi tukiwa tunapiga lopolopo kujenga miji ya kisasa na makazi bora kwa wananchi, Zanzibar wameanza kutumia fedha wanazopata kuboresha makazi ya wananchi wao kwa kuwajengea nyumba bora kwenye maeneo yaliyopangwa na kujengwa vizuri.
Kinachonifurahisha zaidi Zanzibar hawana madini, hawana gesi, hawana Mbuga za wanyama ila wameamua kutumia akili kufanya mambo ya maana ambayo yanawapa fedha na wanazitumia vizuri.
Kwa hali ilivyo haitazidi miaka 20 Zanzibar itaenda kuwa kama Singapore au Korea Kusini. Nina uhakika baada ya miaka 20 ijayo Tanzania bara tutaenda kujifunza Zanzibar kuhusu namna ya kutumia akili kuvutia mitaji na kufanya maendeleo sahihi na kwa haraka.
View attachment 3195947View attachment 3195948View attachment 3195949View attachment 3195950
Na wewe utakuwa punguani au ngumbalu huyo kaonyesha majengo ya shule na Serikali wewe unataka nionyeshe nyumba yangu binafsi?Basi wewe utakuwa punguani. Unatukana nyumba za wenzio wakati yako huwezi kuionesha ! Jinga sana wewe!
Wakiwa na rasilimali chache sana, Zanzibar wamegundua ili waweze kuendelea haraka ni vizuri waachane na akili za ki Tanzania Bara.
Sisi tukiwa tunaendekeza ujinga eti uraia pacha utahatarisha usalama wao siku nyingi walishapitisha suala la Diaspora kushiriki kuwa sehemu ya uchumi wa nchi yao.
Tukiwa tunaendekeza ujinga sijui wageni wasiruhisiwe kumiliki ardhi wao siku nyingi walishapitisha suala la wageni kumiliki ardhi na matunda yameanza kuonekana kwenye uchumi wao.
Kwa sasa ukitazama kwa makini kwenye kila kitu Zanzibar wanafanya kwa viwango vya juu sana.
Sisi tukiwa tunapiga lopolopo kujenga miji ya kisasa na makazi bora kwa wananchi, Zanzibar wameanza kutumia fedha wanazopata kuboresha makazi ya wananchi wao kwa kuwajengea nyumba bora kwenye maeneo yaliyopangwa na kujengwa vizuri.
Kinachonifurahisha zaidi Zanzibar hawana madini, hawana gesi, hawana Mbuga za wanyama ila wameamua kutumia akili kufanya mambo ya maana ambayo yanawapa fedha na wanazitumia vizuri.
Kwa hali ilivyo haitazidi miaka 20 Zanzibar itaenda kuwa kama Singapore au Korea Kusini. Nina uhakika baada ya miaka 20 ijayo Tanzania bara tutaenda kujifunza Zanzibar kuhusu namna ya kutumia akili kuvutia mitaji na kufanya maendeleo sahihi na kwa haraka.
View attachment 3195947View attachment 3195948View attachment 3195949View attachment 3195950
Bila kusahau kukimbiza mwenge,wakati wengine wanajenga uwezo wa wananchi kufaidika na uhuru,wengine wakawa bize kuimba nyimbo za kuwananga wakoloni ambao hawakuwepo kwenye nchi zao huru.Kina Nyerere walipewa Nchi ikiwa na Uchumi mkubwa kushinda Kenya wakaanza nyimbo zao za ujamaa mara wanyonge na upuuzi kama huo matokeo yake Hadi Leo tunafanya mark time.
Anza kujenga mkoa mmoja mmoja ili ionekane kua una nia, Kama JPM alivuokua ameanza kujenga stend baadhi ya mikoaNi fikra zako, lakini ukweli utabaki palepale... Huwezi fananisha eneo ambalo ukubwa wake ni aawa na mkoa ama wilaya moja TzBara dhidi ya TzBara kwa ujumla ambayo ina mikoa zaidi ya 21 na yote inataka maendeleo
Yanalipwa na tanganyikambona nimeona mahali zanzibar madeni yameongezeka kwa 400%
Sawa kwani hizo nyumba kama hizo Dodoma zimejengwa ngapi ?Wanaanzaga na hutohuto tujumba mwisho mnakuja kustuka yamekua majumba, ndo unaanza kupanua mdomo kama jibwa
Zanzibar hii ambayo wanaagiza nyanya chungu, nyanya, vitunguu na ,vizazi mbatata kutoka bara???π€£π€£π€£π€£π€£ .Wakiwa na rasilimali chache sana, Zanzibar wamegundua ili waweze kuendelea haraka ni vizuri waachane na akili za ki Tanzania Bara.
Sisi tukiwa tunaendekeza ujinga eti uraia pacha utahatarisha usalama wao siku nyingi walishapitisha suala la Diaspora kushiriki kuwa sehemu ya uchumi wa nchi yao.
Tukiwa tunaendekeza ujinga sijui wageni wasiruhisiwe kumiliki ardhi wao siku nyingi walishapitisha suala la wageni kumiliki ardhi na matunda yameanza kuonekana kwenye uchumi wao.
Kwa sasa ukitazama kwa makini kwenye kila kitu Zanzibar wanafanya kwa viwango vya juu sana.
Sisi tukiwa tunapiga lopolopo kujenga miji ya kisasa na makazi bora kwa wananchi, Zanzibar wameanza kutumia fedha wanazopata kuboresha makazi ya wananchi wao kwa kuwajengea nyumba bora kwenye maeneo yaliyopangwa na kujengwa vizuri.
Kinachonifurahisha zaidi Zanzibar hawana madini, hawana gesi, hawana Mbuga za wanyama ila wameamua kutumia akili kufanya mambo ya maana ambayo yanawapa fedha na wanazitumia vizuri.
Kwa hali ilivyo haitazidi miaka 20 Zanzibar itaenda kuwa kama Singapore au Korea Kusini. Nina uhakika baada ya miaka 20 ijayo Tanzania bara tutaenda kujifunza Zanzibar kuhusu namna ya kutumia akili kuvutia mitaji na kufanya maendeleo sahihi na kwa haraka.
View attachment 3195947View attachment 3195948View attachment 3195949View attachment 3195950
Za kawaida zenu zipo wapi?Huyu jamaa!
Yaani hizo Nyumba za kawaida ndiyo unataka uachie ardhi yako? Hata Burundi Wana diaspora mbona hakuna basi bana...
Jiandaeni tu kusema siku moja kuwa Zanzibar huko nyuma ilikuwa nchi tuliyoizidi kiuchumi ila saivi wametuzidi kimaendeleoZanzibar hii ambayo wanaagiza nyanya chungu, nyanya, vitunguu na ,vizazi mbatata kutoka bara???π€£π€£π€£π€£π€£ .
Majengo yasikutishe, wametumia nafasi ya mama kuwa kiongozi wa Nchi.
Mama anastahili pongezi bkwa kutumia nafasi yake vizuri.Kama tunaangalia zaidi!! Majengo, tumajengo ni wivu wa kijinga sana.
Kifupi hatuna la kujifunza Toka Zanzibar,kupitia Muungano, Zanzibar tumeitawala ,tumewanyonya sana.
Miradi ya maendeleo ya Zanzibar mikubwa ni sahihi kabisa!!
Natamani kama Mama Abdul atashinda, japo sitaki itokee afanye mambo makubwa zaidi, kwa sababu nafasi ndio sasa!!!
Hongera sana Mama Abdul kwa kuchota pesa kupeleka maendeleo Zanzibar.
Kabla ya uchaguzi mkuu fanya hivi Mama.
1.Teua Jaji Mkuu mzanzibari,
2.DG TISS, mzanzibari,
3.IGP Mzanzibari
4. Kamishna General Uhamihaji mzanzibari
5.Kamishna Mkuu TRA Mzanzibari
6.Governor BOT Mzanzibari
....
Mama endelea kupiga kwenye mshono!!!
Mpaka , mama zamu ni Yako, mama nguvu ni zako, mama ufalme ni wako.
Mwisho mwishoni mteue BAMBO NA AFANDE sele, au Muhogo mchungu awe mbunge na mmoja awe mjumbe wa bodi ya utalii TANZANIA.
Ni hayo tu, hongera sana kwa kazi na kwa kukupigia mwingi Zanzibar!!!π€£π΄π΄π