Siamini hii chura naila kesho.. Swalalaahh

Kwahiyo na Mimi nikijiita labda Naantombe Mussolin5 au Naantombe Nifah au Naantombe kadoda11 au Naantombe Sky Eclat au Naantombe mshana jr itakuwa ' poa ' tu Mkuu? Naomba ' ufafanuzi ' wako uliotukuka tafadhali juu ya hili.
Unajua Naantombe ni salama kwa kikwetu.. Yaani nikisema kwa mfano.. Naantombe Genta.. ni sawa sawa na nimesema Umeamkaje Genta... Ukiieleta kwa kiswahili ndo hapo kunakuwa na ukakasi ila kwa maana halisi ya neno lenyewe wala halina utovu wowote wa nidhamu.. Binafsi Naantombe nimelifanyia usanifu tu ila Mushi kweli ni Surname yangu
 
Mkisema chura analiwa kwa kondom mtagombana na wachina.
Mkuu Giuseppe, ndom inahusika sana kwa mizigo kama hii... Principle yangu moja, kama umemuona mkali wewe sio wa kwanza.. Wengi wamemuona na wameomba wakapiga kama wewe.. so sio salama sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…