Katika vitu ambavyo akili yangu haijakubali ni wewe kujitangaza mwanamke. Huna kabisa sifa za kike, zaidi labda jike dume.Anamfariji mzazi mwenzie.. kupitia hayo. Sasa ni akampikie kabisa
Hasira zake zipo kwenye mume wao na sio haya ya mahakama.Inawezekana ila angekaa tu hata kimya, maana alikua ana hasira nae sana baada ya kumpindua kwa baba Fancy