Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Mzigua90

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2014
Posts
38,342
Reaction score
88,625
8ef72e82b98f7d6ad43e01243d44379f.jpg


Hainingii akilini kabisa kama Hamisa anaweza kumuonea huruma Lulu to zis extent...
 
Miaka 2 unapunguziwa 1/3 ya adhabu na ukitumikia kipindi fulani unamuomba mzee Lyatonga akuruhusu ukatumikie nje adhabu yako.
Lakini ndo Tanzania imesimama kwa ajili hii
 
Umewaza very deeply...

Unafiki uliotukuka huo.
umeona eeh mkuu.. hata kama kaumia angekaa kimya sisi watazamaji tunaona anaigiza kabisa ingawa anaeza kuwa kaumia kweli
 
Back
Top Bottom