Alihack simu ya lulu akajua kua analiwa na viben10 .Doooh.. hivi kumbe zile story za kufumaniwa zilikuaga kweli??? basi boss wa efm kapenda kweli jamani kama mpaka kafumania na kasamehe?? shikamoo da Muna kumsaidia Lulu kumtuliza maji
Ukielewa nielekeze
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] . Sasa alivikuta viben10 au alikuta baba zake? mtoto haridhiki yule jamaniAlihack simu ya lulu akajua kua analiwa na viben10 .
Lulu ni kamati ya ufundi waganga wooooote anawajua yy!
Alihack simu ya lulu akajua kua analiwa na viben10 .
Lulu ni kamati ya ufundi waganga wooooote anawajua yy!
Yap lulu ni wa kawaida nshamuona kama mara3 enzi yuko below 18 and recently wala sio hvyoooAaah hamna mwenye kile kitengo bongo zaidi yake na ukichanganya ana maji ya picha tena ndo basi tena... sema tukutane live sasa kama kale kashape kanaonekanaga unabaki kushangaa mbona insta shape mashallah live waona patupu
Mbona hata alivyotoka walikua wanamuita muuaji baadae wakasahau wanamuonea huruma sasa hivi
Washirikina wale kuna ishue mange anaijua Mimi naijua ila siwezi sema naogopa mwenzangu mambo ya lulu na uchawi (am sorry wale misukule wake)siku mange atalipukaa paaaaaap mtajua tu![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Baasi wamemtengeneza kukwepa kifungo kirefu
Ndio tatizo hilo !hawataki uwe against name wao
Mwenyewe nshamuona enzi zile kabla issue ya Kanumba nlishakutana nae maisha wa kawaida sema sura kajaaliwa ila umbo nashangaa kalitoa wapi sasa hivYap lulu ni wa kawaida nshamuona kama mara3 enzi yuko below 18 and recently wala sio hvyooo
Jamani jamani tupe tu. Ndo ile alisema kuhusu mke wa seth anakaa kimya?Washirikina wale kuna ishue mange anaijua Mimi naijua ila siwezi sema naogopa mwenzangu mambo ya lulu na uchawi (am sorry wale misukule wake)siku mange atalipukaa paaaaaap mtajua tu![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Washirikina wale kuna ishue mange anaijua Mimi naijua ila siwezi sema naogopa mwenzangu mambo ya lulu na uchawi (am sorry wale misukule wake)siku mange atalipukaa paaaaaap mtajua tu![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Jamani jamani tupe tu. Ndo ile alisema kuhusu mke wa seth anakaa kimya?
Picha linaanza wanamuonyesha wao washirikina kiasi gani.