Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Mimi nampenda ingawa kuna muda ananichosha...now nyota yake imefifia wema jamaniii...anapost insta comment chacheee
Siasa ndio ilimmaliza. We kwenda ku join kitu ambacho wengi hawakipendi ila team yako inaforce uonekane inakupendeza unadhani utabaki salama.
Tatizo siasa,mshauri wake alibug
Angeshtuka.mapema.enzi zile yupo juu angelamba pesa kibao za matangazo kwa account yake hio ila ndo hivyo tena drama zikamnogea
 
Idea ilikua ya Irene akamshirikisha zamaradi pale clouds bibie akaenda kuiongelea na ruge kitandani(hahaaa chumvi)bibie anashtka kipindi kimeanza katemwa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kweli geni???? Basi zama nae anaziweza fitna. Maana alianzia kwa dina marios...ptuuuuuu ndio maana simuelewagi yule dada. Qkhaaaaaa. But naona ni mashoga now days.
 
Ngoja niwape kiduchu kifo cha seki wasn't coincedence at all even Seki's wife knows her husband would die anytime (sijui kingereza mmeeelewa mana mie pyua sayansi)
Geni dar. Mjue nyie nimepitwa jamaniiii mie na ubuyu hivi jomoni....
Niambie tena basi nipe hata ki code
 
Yaani yule burizuzu kweli..kwanini,asimtoe kimya kimya akae zake kwao ajifungie tu ndani baada ya miaka atoke. Sema kama kafungwa ile ya usiku na mchana means atakaa mwaka 1 ila kama ni ya siku moja mchana tupu basi atakaa miaka yote mi2.
Ila wabongo kwa chumvi mnatisha!kwa hiyo kuna aina mbili za vifungo?Ha ha
 
Wanawake ndo Viumbe pekee wanaoweza kuishi kinafiki kati yao na Maisha yakasonga kana kwamba Wanamanisha!!!
Wapo ambao sio wanafiki mkuu mm binafsi cjaona alipokosea hamisa sema ss wenyewe ndo tushajijengea dhana hiyo kwahiyo lazma wanafiki wenzie wafikir ni unafiki
 
Kabisa wale wote wanafiki tu. Bora idriss kasema ukweli kuhusu msiba wa kanumba ulivyomtouch na kuwa haki yake imepatikana. Wapo wengi walitaman waandike kama idriss..maisha ya Lulu wasanii wengi waliyataman sana
Rose Ndauka nae katema cheche zake

Huyu Dada nahisigi ni mkweli, hapendi unafiki
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kweli geni???? Basi zama nae anaziweza fitna. Maana alianzia kwa dina marios...ptuuuuuu ndio maana simuelewagi yule dada. Qkhaaaaaa. But naona ni mashoga now days.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji108] [emoji108] unafanyaje sasa!unasamehe tu life liendelee Yule fitna anaziweza
 
Yaani yule burizuzu kweli..kwanini,asimtoe kimya kimya akae zake kwao ajifungie tu ndani baada ya miaka atoke. Sema kama kafungwa ile ya usiku na mchana means atakaa mwaka 1 ila kama ni ya siku moja mchana tupu basi atakaa miaka yote mi2.
Sio usiku na mchana.. anakaa 2/3 ya miezi aliyohukumiwa maana ake atakaa mwaka mmoja na miezi minne
 
Ndio.. na asivyoshindwa hakawii kubeba mtoto wa pili kumkomesha Lulu
make kwenye besdei wishes alimwaga maneno matamu "baba fanta wewe ni baba bora tunakupenda" sahivi hashindwi kuvizia sperm za baba fanta ajibebeshe mimba
 
Idea ilikua ya Irene akamshirikisha zamaradi pale clouds bibie akaenda kuiongelea na ruge kitandani(hahaaa chumvi)bibie anashtka kipindi kimeanza katemwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wema ni kweli kabisa kafurahi,team wema waliweza mtukana yeyote insta wema kimya,ila akitukanwa lulu alikua analianzisha mpaka wema anamuomba msamaha kwa niaba ya timu. Pesa na akili ya maisha alimzid sana
Sijakuelewa hapa Numbisa....hebu nifafanulie
 
Pole zenyewe za kuogopa kuchambwa. Mahakaman hawakwenda hata siku moja.
Msanii aliyekuwepo pale ni munalove na sinta tuu...

Wasanii wana roho za kwanini asee, kuna mmoja ktk kuangaza macho nilimfananisha na Aunt ezek...kumbe sio yy walifanana tu...

( ila wale wamama wa kihaya ni wasanii asee..pale unapoona vibibi vinatafuta kiki na kutafuta camera ili kuuza nyago , ngoja nikae kimya)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…