Irene Paul huyu huyu? kidogo yule Mariam ana akiliKabisa. Wanafki balaa,ukiwa na wewe atasema wengine,akiwa na mwingine atakusema wewe.
Bongo movie uozo mtupu wanaojielewa wachache,kina irene paul,Jenifer kyaka (odama) yaani wachache mno.
Ila hamissa kiboko anajua ku-act mimi nilivyo na roho ndogo siwezi kumtunza mtu huku najua namchukulia baba watoto wakeNilishasahau unafki wake huo.
Zilipendwa sasa hivi anayatamani yale maisha ila ndo alimtafutia baba wa watu matatizo
Petit si bby wake piaUshoga wa wema ni hatari,hadi chumban kwako atataka aingie na kuchukua akitakacho.au ukaishi kwake na mvae sare. Check alivyokua karibu na petit alimvuruga sana esma. Maana petit kutwa nzima kwa wema,kulala,kula etc
[emoji2] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] mama wa marehemu loooh!mbona alitoa hadi ya kanumba gerezani kipind kile
Ila hamissa kiboko anajua ku-act mimi nilivyo na roho ndogo siwezi kumtunza mtu huku najua namchukulia baba watoto wake
Petit si bby wake pia
Lulu anapenda kuonekana tofauti ujue, utakuta deep down alikua anataka sana mtoto na Majizo ila anataka watu wamuone tofauti na Hamisa aliezaa bila ndoa, yeye alikua anataka ndoa kwa Majizo ndo azaeIla najiuliza kwann hakutulia kwa mond au ndo kusema jamaa mbahili sana. Na mbona kwa majizo hakumuachia hata kamrithi jaman
Irene kuna sehemu niliziona picha zake akiwa naked nikajiuliza ni huyu huyu!!Irene Paul huyu huyu? kidogo yule Mariam ana akili
Nani Zuu? Zuu alitaka kiki mbona aliulizwa na hamissa akabaki anajikanyaga kanyaga...maana Zuu ndiyo kiunganishi cha majay na hamiisa ujueHata majizo,hamisa alimpora shost ake
Kwani yeye anaikosa? yeye akipata bwana anahela badala ya kuwekeza anamfuja, mtu unafuga mashoga kila kitu wakutegemee, unabeba kundi la watu hata kumi unatoka nalo woote gharama zao juu yako, bado hujapanga nyumba utaibadilisha kama vile umeijenga wewe. Yule bahati kazipata akili ndo hanaSababu nyingine ni udangaji wa faida wa lulu. Anataman hio bahati aipate yeye
Mimi nampenda ingawa kuna muda ananichosha...now nyota yake imefifia wema jamaniii...anapost insta comment chacheee
Kwanza nilivyo bahili naanzaje kumpa hela mke mwenzangu si bora zile hela nikamnunulie boxer bwana wetu. Yani najua unapata zaidi bado nikuongezee? unafki ule siuwezi kwanza mtu tunaeshare bwana ukaribu au ushoga wa ninjIla hamissa kiboko anajua ku-act mimi nilivyo na roho ndogo siwezi kumtunza mtu huku najua namchukulia baba watoto wake
Kwani yeye anaikosa? yeye akipata bwana anahela badala ya kuwekeza anamfuja, mtu unafuga mashoga kila kitu wakutegemee, unabeba kundi la watu hata kumi unatoka nalo woote gharama zao juu yako, bado hujapanga nyumba utaibadilisha kama vile umeijenga wewe. Yule bahati kazipata akili ndo hana
My boss wa foot. Wanawatumiaga kupata followers tu wakishapata wanawatupilia mbali kila mtu ahangaike na mzigo wake