Siamini kama Joshua amepigwa ila pesa waliyolipwa si mchezo

Every sport has it dark side mkuu. I like the way you think, yote yanawezekana (kupigwa au kupangwa kwa matokeo. If you wanna know more mjue Don King , ni moja kati ya watu waliouharibu huu mchezo.
Dah umenikumbusha don king
 
Ukitazama kwa umakini utagundua wazi kua Joshua hakua vizuri,ni kama alibeba kitu fulani akilini mwake na hakua sawa,yule jamaa waje watudie pambano utaona atakavyo chakazwa.
 
Pesa aliyopata bingwa ni pungufu mara tatu ya pesa aliyopata alieshindwa
 
Mshindi billion 15. AJ aliepigwa billion 52 mbona inakuwaje hapo ?

Au umejichanganya?
 
Naungana na wewe mkuu, hii nikama ile ya Joseph paker, yani mipango mitupu, Jamaa amepata nafasinyingi tu hajatumia hata moja.

Yani mkono wa kulia ulikuwa useless kabisa.

Hata hivyo kwa billion 52 hata Mimi ningekubali nipigwetu.
Huyo chabunene anatafuta jina ili apate mapambano mengine ya heshima nothing else.
 
Joshua akipigwa mechi imefixiwa akishinda anajua.
Wabongo achen kukariri joshua is not invincible bhana
Nyie ndo mnaamin ata jiwe hawez kukosea
 
Mshindi billion 15. AJ aliepigwa billion 52 mbona inakuwaje hapo ?

Au umejichanganya?
Ndio hivo mkuu..usitegemee angelipwa sawa na Joshua...#business
Ndo mana nakuambia hamtaamini kutakua na mapambano ya kujiandaa hapa katikati kabla ya marudiano ..Ruiz nahisi ataandaliwa pambano na Wielder, atakayeshinda kulingana na ilivyopangwa ndio atakuja kupigana na Joshua tena..
 
Hahaha mkuu ndio hivo bwana...hivi vitu ni planned kabisa na sababu ni pesa pesa pesa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…