Hao nao waache upumbavu kwani kuna uhusiano gani kati ya ushoga/jinsia na performance uwanjani?? Kuna wacheza soka,wanajeshi,wanasiasa wangapi ni mashoga ila wanapiga kazi efficient kuliko hata straight men. Wasitafute vichaka mbona klitschko na ubabe wote ule alipigwa knockout ndio sembuse huyu bishoo wa kiingereza!!
Sijawahi kumuona akipigana, Ila kwa jinsi alivyopigana hili papmbano alistahili kupigwa, na kama ndivyo anavyopigana basi halitendei haki umbo lake, na ataendelea kupigwa akikutana na mabondia wajanja kama huyu Mexico.