Siamini kwa umri huu nasingiziwa ujauzito

Siamini kwa umri huu nasingiziwa ujauzito

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Wakuu,

Last year November nilikutana na huyu ex wangu yakatokea yaliyotokea maana nadhani ile kauli mbiu ya mtalaka huwa hatongozwi bado ni valid.

Sasa last week akanipigia simu akaniambia anataka tuzungumze nikamwambia sawa.

Madai yake ni kwamba, yeye alikuwa na uvimbe na kuna madawa alikuwa akiyatumia sasa madawa hayo yalivuruga mzunguko wake.

Akaendelea kudai kwamba baada ya sisi kuachana siku ile alidhani kwamba mambo yatakuwa sawa ila mpaka sasa haoni dalili za kurejea kwenye hali ya kawaida.

Kwakweli nikiri kwamba nilichemka lakini kikubwa ni kwamba sikuacha chochote kwake ingawa yeye anadai niliacha.

Sasa naona ghafla tu ameanza kujibebisha na kuzungumzia mambo ambayo kwa kweli hayapo ndani ya mipango yangu.

Kupima alipima na daktari katoa majibu kuwa ana ujauzito.

Tatizo hapa ni kuwa ilikuwa siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.

Hapa naona kama naonewa tu na mimi sio mhusika.

Nimemtaarifu kuwa kama ni kweli nasubiria tupime DNA ila naona suala la DNA ni kama namdhalilisha huyo dogo atayezaliwa na akija pata hii stori atanichukia mno.

Niko njia panda maana ilikuwa mara moja tu na sikuacha chochote mule.
 
Tunza huo ujauzito acha kukwepa majukumu..

Kwa umri wako lazima unafahamu njia za kuzuia mimba zisizotarajiwa ikiwemo ya kuepuka ngono zembe ila wewe hukuchukua hatua hivyo wajibika.

Hayo ndio matokeo hasi ya uzinzi,kama ulishaoa basi jipange kumueleza mkeo habari hii mbaya ya aibu.


Tatizo hapa ni kuwa ilikua siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.
Ulichemka lakini hukuacha chochote?......

Kwakweli nikiri kwamba nichemka lakini kikubwa ni kwamba sikuacha chochote kwake ingawa yeye anadai niliacha.
 
Ondoka nyumbani mpk wenzake waende advance level, Jamhuri itakufunga sababu ulisababisha afeli. Kumbuka ulikua na mahusiano nae akiwa mwanafunzi.
 
Wakuu naombeni msaada wa swali eti kademu kamemaliza form 4 mwaka huu kamefeli kamepata division 4 ya 28 bado ni mwanafunzi ?

Au nishaharibu tayari

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Anascha kuwa mwanafunzi baada ya selection kutoka. Kupata Div IV sio shida maana kwa sera zetu unaweza shangaa mwaka fulani wote hao wakaenda A'Level
 
Back
Top Bottom