Siamini kwa umri huu nasingiziwa ujauzito

Siamini kwa umri huu nasingiziwa ujauzito

Wakuu,

Last year November nilikutana na huyu ex wangu yakatokea yaliyotokea maana nadhani ile kauli mbiu ya mtalaka huwa hatongozwi bado ni valid.

Sasa last week akanipigia simu akaniambia anataka tuzungumze nikamwambia sawa.

Madai yake ni kwamba, yeye alikuwa na uvimbe na kuna madawa alikuwa akiyatumia sasa madawa hayo yalivuruga mzunguko wake.

Akaendelea kudai kwamba baada ya sisi kuachana siku ile alidhani kwamba mambo yatakuwa sawa ila mpaka sasa haoni dalili za kurejea kwenye hali ya kawaida.

Kwakweli nikiri kwamba nilichemka lakini kikubwa ni kwamba sikuacha chochote kwake ingawa yeye anadai niliacha.

Sasa naona ghafla tu ameanza kujibebisha na kuzungumzia mambo ambayo kwa kweli hayapo ndani ya mipango yangu.

Kupima alipima na daktari katoa majibu kuwa ana ujauzito.

Tatizo hapa ni kuwa ilikuwa siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.

Hapa naona kama naonewa tu na mimi sio mhusika.

Nimemtaarifu kuwa kama ni kweli nasubiria tupime DNA ila naona suala la DNA ni kama namdhalilisha huyo dogo atayezaliwa na akija pata hii stori atanichukia mno.

Niko njia panda maana ilikuwa mara moja tu na sikuacha chochote mule.
Hujui unacho taka
 
Wakuu,

Last year November nilikutana na huyu ex wangu yakatokea yaliyotokea maana nadhani ile kauli mbiu ya mtalaka huwa hatongozwi bado ni valid.

Sasa last week akanipigia simu akaniambia anataka tuzungumze nikamwambia sawa.

Madai yake ni kwamba, yeye alikuwa na uvimbe na kuna madawa alikuwa akiyatumia sasa madawa hayo yalivuruga mzunguko wake.

Akaendelea kudai kwamba baada ya sisi kuachana siku ile alidhani kwamba mambo yatakuwa sawa ila mpaka sasa haoni dalili za kurejea kwenye hali ya kawaida.

Kwakweli nikiri kwamba nilichemka lakini kikubwa ni kwamba sikuacha chochote kwake ingawa yeye anadai niliacha.

Sasa naona ghafla tu ameanza kujibebisha na kuzungumzia mambo ambayo kwa kweli hayapo ndani ya mipango yangu.

Kupima alipima na daktari katoa majibu kuwa ana ujauzito.

Tatizo hapa ni kuwa ilikuwa siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.

Hapa naona kama naonewa tu na mimi sio mhusika.

Nimemtaarifu kuwa kama ni kweli nasubiria tupime DNA ila naona suala la DNA ni kama namdhalilisha huyo dogo atayezaliwa na akija pata hii stori atanichukia mno.

Niko njia panda maana ilikuwa mara moja tu na sikuacha chochote mule.
Ili mradi amesema ni wako mlee kwa upendo hata kama kiuhalisia hatokuwa wako
Atakupenda sana huyo dogo kuliko utakavyo fikiria
 
Kupima alipima na daktari katoa majibu kuwa ana ujauzito.

Tatizo hapa ni kuwa ilikuwa siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.

Hapa naona kama naonewa tu na mimi sio mhusika.


Niko njia panda maana ilikuwa mara moja tu na sikuacha chochote mule.
😁😁 Mnamuona huyu jamaa! Aliye mwambia hiyo kitu inatokea baada ya kumfunga mpinzani bao nyingi, ni nani?

Sisi wachezaji wa zamani tulikuwa na msemo wetu unaosema hivi "One mistake, one goal" 😁😁 Yaani mimba inapatikana kwa urahisi zaidi kupitia hako kagoli kamoja, kuliko kwenye show ya goli 2, 3, 4 au 5!

Kubali tu wewe sasa ni Baba Kijacho. Na usijaribu kwa namna yoyote ile kukimbia majukumu.
 
Back
Top Bottom