Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Nishali solve hilo swala bibie mawardatPole sana, inaonekana hili jambo linakuchachafya sana[emoji23]
Uzi was pili huu nakutana na hii comment yako.
Bado tupo wote uraiani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishali solve hilo swala bibie mawardatPole sana, inaonekana hili jambo linakuchachafya sana[emoji23]
Uzi was pili huu nakutana na hii comment yako.
Umesafisha?Nishali solve hilo swala bibie mawardat
Bado tupo wote uraiani
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hujui unacho takaWakuu,
Last year November nilikutana na huyu ex wangu yakatokea yaliyotokea maana nadhani ile kauli mbiu ya mtalaka huwa hatongozwi bado ni valid.
Sasa last week akanipigia simu akaniambia anataka tuzungumze nikamwambia sawa.
Madai yake ni kwamba, yeye alikuwa na uvimbe na kuna madawa alikuwa akiyatumia sasa madawa hayo yalivuruga mzunguko wake.
Akaendelea kudai kwamba baada ya sisi kuachana siku ile alidhani kwamba mambo yatakuwa sawa ila mpaka sasa haoni dalili za kurejea kwenye hali ya kawaida.
Kwakweli nikiri kwamba nilichemka lakini kikubwa ni kwamba sikuacha chochote kwake ingawa yeye anadai niliacha.
Sasa naona ghafla tu ameanza kujibebisha na kuzungumzia mambo ambayo kwa kweli hayapo ndani ya mipango yangu.
Kupima alipima na daktari katoa majibu kuwa ana ujauzito.
Tatizo hapa ni kuwa ilikuwa siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.
Hapa naona kama naonewa tu na mimi sio mhusika.
Nimemtaarifu kuwa kama ni kweli nasubiria tupime DNA ila naona suala la DNA ni kama namdhalilisha huyo dogo atayezaliwa na akija pata hii stori atanichukia mno.
Niko njia panda maana ilikuwa mara moja tu na sikuacha chochote mule.
Ili mradi amesema ni wako mlee kwa upendo hata kama kiuhalisia hatokuwa wakoWakuu,
Last year November nilikutana na huyu ex wangu yakatokea yaliyotokea maana nadhani ile kauli mbiu ya mtalaka huwa hatongozwi bado ni valid.
Sasa last week akanipigia simu akaniambia anataka tuzungumze nikamwambia sawa.
Madai yake ni kwamba, yeye alikuwa na uvimbe na kuna madawa alikuwa akiyatumia sasa madawa hayo yalivuruga mzunguko wake.
Akaendelea kudai kwamba baada ya sisi kuachana siku ile alidhani kwamba mambo yatakuwa sawa ila mpaka sasa haoni dalili za kurejea kwenye hali ya kawaida.
Kwakweli nikiri kwamba nilichemka lakini kikubwa ni kwamba sikuacha chochote kwake ingawa yeye anadai niliacha.
Sasa naona ghafla tu ameanza kujibebisha na kuzungumzia mambo ambayo kwa kweli hayapo ndani ya mipango yangu.
Kupima alipima na daktari katoa majibu kuwa ana ujauzito.
Tatizo hapa ni kuwa ilikuwa siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.
Hapa naona kama naonewa tu na mimi sio mhusika.
Nimemtaarifu kuwa kama ni kweli nasubiria tupime DNA ila naona suala la DNA ni kama namdhalilisha huyo dogo atayezaliwa na akija pata hii stori atanichukia mno.
Niko njia panda maana ilikuwa mara moja tu na sikuacha chochote mule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Una uhakika ukuacha kitu..fanya kumuita tena uchungulie kama hukuacha kitu mkuu...Dj walete na mkwaju wa Sauti sol - LEA
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
😁😁 Mnamuona huyu jamaa! Aliye mwambia hiyo kitu inatokea baada ya kumfunga mpinzani bao nyingi, ni nani?Kupima alipima na daktari katoa majibu kuwa ana ujauzito.
Tatizo hapa ni kuwa ilikuwa siku hiyo tu na kusema kweli sikuacha chochote mule.
Hapa naona kama naonewa tu na mimi sio mhusika.
Niko njia panda maana ilikuwa mara moja tu na sikuacha chochote mule.