Siamini kwa umri huu nasingiziwa ujauzito

Kuloweka tamu, hasa ukutane na keyi yenye ute/maji ya kutosha- ni kuslid tu shwaaaa
 
Mwamba kama hii sio chai, andaa kabisa kadi ya chama kwa dogo ajaye...😁
Mkuu mazingira yenyewe ya utata mno halafu kakaa kimya toka last year anakuja ibuka mwaka huu.
 
Mzee baba mimba kama jinai tu, huwa haifi hiyo
Sio kwamba muda aliokaa kimya alikua akitafuta mnyonge wa kumuangushia jumba bovu??

Akaona huyu huyu anafaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…