Duuh! Umeandika kwa hisia ya hali ya juu Kaka ake.
Mzowee tu kritika sababu sidhani kama huwa nyuzi zake zinauhalisia zaidi ya kutaka kuwasimamisha mishipa ya kichwa nyie wanaume wa jf.
Hahahaa. Ndio hilo lengo lake kikubwa ni kumzowea tu kaka.Hapo nimekuelewa Dada yangu mwenye hekima kubwa! Kumbe nia yake ni kuona mapovu tu basi
Ana stress za kutoolewawe kila kitu mapenz na kila mada dhidi ya wanaume? Mrudie muumba humu hutapata amani unayoitaka
Miss "GENERALIZATION" katika ubora wako.Ni aibu kubwa mwanaume wa 30+ una nguvu zako,huna ulemavu wowote,unautimamu wa ubongo, watoto wa shule wanaomba lift asubuhi unawasimamishia gari wanakuja mbio kupanda mara na limwanaume nalo hiloo mbio kudandia lift ya bure, 30+ hukoo really???? ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kama mazuri lakini nimeshanga sana,sasa huku duniani unafanya nini??
Ni ktambo sana nimekuwa likizo, ngoja nipige maji nirudi kusoma moja baada ya nyingi labda naweza kumfanyia maombi huyu dadaHebu tuambie tumekukosea nini....hii si kawaida..toka umepiga maguu JF wewe upo na wanaume tuu..
1. Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi
2. Ni aibu kwa mwanaume
3. Wanaume hawajui mapenzi
4. Wanaume wengi hawabebeki
5. Tabia za ajabu kwa wanaume
6. Baadhi ya wanaume ni wachafu sana, wanalala na kahaba anayetembea na wanaume wengi
7. Bora kujipenda mwenyewe
8. Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye
9. Wanaume kuwa na aibu za kitoto
10. Wanaume mnalaana
11. Wanaume wa siku hizi wamekua waoga sana hadi wanatia aibu
Kuna tatizo kubwa sana
Ukiona hivyo hana bwanaMkuu mbona mada zako ni za kutunanga vidume tuu